Wanaume wa Dar mnatia hasira

 
Basi nipe dada ako mwny rinda OG
Jaribu kwa shangazi yako. Nasikia huko shamba wamama wanajifungua na bikra zao. Ushamba mzigo sana. Vipi bado mnapanda mikokoteni au matrekta yameshatia timu huko??
 
Jaribu kwa shangazi yako. Nasikia huko shamba wamama wanajifungua na bikra zao. Ushamba mzigo sana. Vipi bado mnapanda mikokoteni au matrekta yameshatia timu huko??
Sasa izo mimba zinaingiaje.Mi sijawai skia mkuu.Ila nimekaa Daslam nimeona hadi watoto WA dawaaah.Ndio maana Gwajima huwaita Watoto WA Dawa..au nawe Ni mtoto WA dawaaa (in gwajima voice)
 
ukisema Wanaume wa dar unamaanisha wazaramo?
 
Sasa izo mimba zinaingiaje.Mi sijawai skia mkuu.Ila nimekaa Daslam nimeona hadi watoto WA dawaaah.Ndio maana Gwajima huwaita Watoto WA Dawa..au nawe Ni mtoto WA dawaaa (in gwajima voice)
Daslam ulifika lini kwa mara ya mwisho??
 
Yaani sielewi ni nini kimewapata wanaume wa dsm... tukio hatarishi linatokea ndo kwanza wanakushangaa
 
Kwan hao mashoga si wanakuja Dar kutafuta Soko maana kuna yule Kaoge Mjita nae kaja Dar kitafuta Soko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…