Wanaume wa Dar mnatia hasira

Inatia hasira sana mtu mmoja anakalisha mtaa yani kama movie za kihindi kwel dar viepe biti kibao
 
Ni kweli mi mwalimu wangu aliekuwa akinifundisha Taikondo alikuwa ananihimidha nidham na endapo kama angepata fununu kwamba ulifanya fujo basi anakuondoa hapo chuoni ni jamaa mmoja ambaye alikuwa katoka Australia
 
Wanaume wa dar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…