Wanaume wa Dar tumechoka kudharaulika!

kitumbotala

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2015
Posts
516
Reaction score
623
Kwani wanatuchukuliaje? Maana kila tukio lililoshindwa kukamilishwa na Mwanaume Fulani utasikia ooo..wanaume wa dar ndio wameshindwa,akitotokea mtu muoga,mwenye udhaifu anaitwa mwanaume wa dar,tunaonekana wanaume wa Dar sio majasiri,shupavu,waoga na wadhaifu, hii haikubaliki.
Msituchukulie poa aiseee
 
Nachowapendea wanaume wa dar
1.chakula chenu chips mayai
2. Hamuhangaiki na miganda ya miwa mchane fidhi za meno na midomo yenu,nyie juice ya muwa tu. Kamua nyie mwanywa tu.
3.Hamna shida,mwizi akikuibia unasema kamata mwizi,kamata mwizi usipo sikika unaachana nae.
4. Mnanichosha kwa wivu tu,mnataka mfanane na sie dada zenu,mnavaa pedo siku hizi,vibukta vya beach tunapishana navyo barabarani...chaaaa
Kubwa mnaloweza wanaume wa dar ni kuitikia vituo kwa makonda utasikia "shushaaa" kwa sauti kuuuubwaaa ili akikupitisha kituo ukiwashe a.k.a uamshe dude.
Nawapendea hivyo hivyo dear wanaume wa dar.
Cheers to you
 
Hahahaha wakat Chips huku kwetu ni mboga
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nimependa Uandishi wako. Chukua soda nitalipia
 
Sidhani kama kweli muanzisha mada ni mwanaume wa Dar, ngoja wanaume wa Dar waje nitarejea
 
Reactions: Lee
mi wamenionesha kitu kipya sikuwahi kukiona mkoani, kusukuma wanawake ili wawahi siti ya gari.... Happy new year wanaume wote wa darrrr
 
Endapo wanaume Wa Dar mtayafanyia kazi hata yalosemwa hapa ......hamtolalamika tena .
 
hahahaaa yani ndo umeamua kuwaharibu kabisaaaaaa[emoji2]

wanaume wa dar..!!!! Endeleeni hvo hvo ndo maisha mliochagua.....kubeba begi kubwa siku nzima afu umeweka earphone tu[emoji13]

[HASHTAG]#Atubu[/HASHTAG]
 
Ngoja nikale mhindi wa kuchoma na pilipili nyiingi na ndimu. Halafu nishushie na juice ya ukwaju baridiiiiii. Nitawakuta.
 
hahahaaa yani ndo umeamua kuwaharibu kabisaaaaaa[emoji2]

wanaume wa dar..!!!! Endeleeni hvo hvo ndo maisha mliochagua.....kubeba begi kubwa siku nzima afu umeweka earphone tu[emoji13]

[HASHTAG]#Atubu[/HASHTAG]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] cheers to wanaume wa dar kuvaa ma sweater na joto linasoma nyuzi 30
 
mwakani haya mambo yakiendelea itabidi tukiwashe kwa kweli. hawa wa mkoa hawatujui vizuri sie. tutafanya mgomo baridi ohooo..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…