sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 19,955
- 45,207
Nawewe badala ya kututetea....[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nawewe badala ya kututetea....[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
mi wamenionesha kitu kipya sikuwahi kukiona mkoani, kusukuma wanawake ili wawahi siti ya gari.... Happy new year wanaume wote wa darrrr
hahahahahaaaHakika nimengi sanaa nambaya zaidi hawajioni nahawako tayar kufanya mabadiliko. .ila nyie wadada wao pia muwasaidie ,muwe mnawachana laivu banaaa [emoji23] [emoji23] .
Mwanaume Wa Dar juice ya Muwa mpaka akamuliwe ,iweke kwa glass .,,, sasa balaaa nihiliiii....Chips wanalia Toothpick ,nasoda wanatumia mirija .wao wanaiita ustaarabu ukimgusa kiganja lainiiiiiiiii km mtoto mchanga.
Ndio natafuta cha kuwatetea hapa, subiri nifikirie.Nawewe badala ya kututetea....
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
Ewaaaaa wao wanaviita ivo vibkta ***Tualikiba**[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wanaume Wa Dar........anavaaa kibukta ..demu wake pia kibkta ....wote miguu yao inafanana lainiii[emoji23] [emoji23] hawa wana wanaitaj maombiwanatule tubukta twao tumeishia juu ya magoti afu tumekunjwa kdgo.......tupo twa rangi mbali mbali......wao wanapenda sana twanjano........afu huwa hajistukii yn....[emoji13]
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wanatuitajeeeee......"tualikiba"...!!!!????[emoji13]Ewaaaaa wao wanaviita ivo vibkta ***Tualikiba**[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wanaume Wa Dar........anavaaa kibukta ..demu wake pia kibkta ....wote miguu yao inafanana lainiii[emoji23] [emoji23] hawa wana wanaitaj maombi
Hapo kwenye kuwahi siti mna nguvu kwakweli, kuna siku jamaa mmoja wa dar kakunja mikono ya tshrt anajiandaa kugombania mlango wa mwendokasi, kaingia kakaa dah huwezi amini ilikua fire na akashuka msimbazi, hakika wanaume wa dar mna vitu vya kipekee 😀Ila hapo kwenye kugombea siti na wanawake siyo fair aisee, ila sasa ndo hatuna jinsi.
Hapo kwenye kuwahi siti mna nguvu kwakweli, kuna siku jamaa mmoja wa dar kakunja mikono ya tshrt anajiandaa kugombania mlango wa mwendokasi, kaingia kakaa dah huwezi amini ilikua fire na akashuka msimbazi, hakika wanaume wa dar mna vitu vya kipekee 😀
Nyie sio kwa wadada tu yani hata vibibi mnasukuma, ndo maana panya road huwa wanawafungia mitaaKi-ukweli huwa naona aibu sana inapotokea natakiwa kugombea gari halafu yupo mwanamke au mdada pembeni.
Huwa najaribu kuacha aingie kwanza na mimi ndo naingia baada yake, ila siyo fair.
Sema nyie nao mnalinga, kuna muda unamwona mdada unamwambia njoo nikupe lift hataki, inabidi umwache agombee tu gari.
Nyie sio kwa wadada tu yani hata vibibi mnasukuma, ndo maana panya road huwa wanawafungia mitaa
yani na wewe unawasema kaka zako jamaniiiiiii.....daaahhh kweli dar kuna tuwanaume twa ajabu[emoji13]Hapo kwenye kuwahi siti mna nguvu kwakweli, kuna siku jamaa mmoja wa dar kakunja mikono ya tshrt anajiandaa kugombania mlango wa mwendokasi, kaingia kakaa dah huwezi amini ilikua fire na akashuka msimbazi, hakika wanaume wa dar mna vitu vya kipekee 😀
KyakyakyaaaNachowapendea wanaume wa dar
1.chakula chenu chips mayai
2. Hamuhangaiki na miganda ya miwa mchane fidhi za meno na midomo yenu,nyie juice ya muwa tu. Kamua nyie mwanywa tu.
3.Hamna shida,mwizi akikuibia unasema kamata mwizi,kamata mwizi usipo sikika unaachana nae.
4. Mnanichosha kwa wivu tu,mnataka mfanane na sie dada zenu,mnavaa pedo siku hizi,vibukta vya beach tunapishana navyo barabarani...chaaaa
Kubwa mnaloweza wanaume wa dar ni kuitikia vituo kwa makonda utasikia "shushaaa" kwa sauti kuuuubwaaa ili akikupitisha kituo ukiwashe a.k.a uamshe dude.
Nawapendea hivyo hivyo dear wanaume wa dar.
Cheers to you
Hahhhh.... Labda alikuwa ana wahi diliHapo kwenye kuwahi siti mna nguvu kwakweli, kuna siku jamaa mmoja wa dar kakunja mikono ya tshrt anajiandaa kugombania mlango wa mwendokasi, kaingia kakaa dah huwezi amini ilikua fire na akashuka msimbazi, hakika wanaume wa dar mna vitu vya kipekee 😀
Dar ni kuwahi foleni tu..... Utapata wapi muda wa kuanza kula miwa....Nachowapendea wanaume wa dar
1.chakula chenu chips mayai
2. Hamuhangaiki na miganda ya miwa mchane fidhi za meno na midomo yenu,nyie juice ya muwa tu. Kamua nyie mwanywa tu.
3.Hamna shida,mwizi akikuibia unasema kamata mwizi,kamata mwizi usipo sikika unaachana nae.
4. Mnanichosha kwa wivu tu,mnataka mfanane na sie dada zenu,mnavaa pedo siku hizi,vibukta vya beach tunapishana navyo barabarani...chaaaa
Kubwa mnaloweza wanaume wa dar ni kuitikia vituo kwa makonda utasikia "shushaaa" kwa sauti kuuuubwaaa ili akikupitisha kituo ukiwashe a.k.a uamshe dude.
Nawapendea hivyo hivyo dear wanaume wa dar.
Cheers to you
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ndio natafuta cha kuwatetea hapa, subiri nifikirie.
Hata sijui.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hivi kati ya sisi na hao wa countryside wapi wanawapa hela??? Saana.
Hata hilo...