Wanaume wa Dar tumechoka kudharaulika!

Wanaume wa Dar tumechoka kudharaulika!

hahahaaa yani ndo umeamua kuwaharibu kabisaaaaaa[emoji2]

wanaume wa dar..!!!! Endeleeni hvo hvo ndo maisha mliochagua.....kubeba begi kubwa siku nzima afu umeweka earphone tu[emoji13]

[HASHTAG]#Atubu[/HASHTAG]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
hahahaaa yani ndo umeamua kuwaharibu kabisaaaaaa[emoji2]

wanaume wa dar..!!!! Endeleeni hvo hvo ndo maisha mliochagua.....kubeba begi kubwa siku nzima afu umeweka earphone tu[emoji13]

[HASHTAG]#Atubu[/HASHTAG]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
avatar yako ni inversely proportional na mada yako! (avatar=1/mada)
 
Nachowapendea wanaume wa dar
1.chakula chenu chips mayai
2. Hamuhangaiki na miganda ya miwa mchane fidhi za meno na midomo yenu,nyie juice ya muwa tu. Kamua nyie mwanywa tu.
3.Hamna shida,mwizi akikuibia unasema kamata mwizi,kamata mwizi usipo sikika unaachana nae.
4. Mnanichosha kwa wivu tu,mnataka mfanane na sie dada zenu,mnavaa pedo siku hizi,vibukta vya beach tunapishana navyo barabarani...chaaaa
Kubwa mnaloweza wanaume wa dar ni kuitikia vituo kwa makonda utasikia "shushaaa" kwa sauti kuuuubwaaa ili akikupitisha kituo ukiwashe a.k.a uamshe dude.
Nawapendea hivyo hivyo dear wanaume wa dar.
Cheers to you
cec120c91d77d48c2f2f08f3c0b6cb6e.jpg
mama chacha[emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Daaah hakyanani nyie wa dar mnatisha mengine nilikuwa siyajui.
Hivi mnawezaje kuwasukuma wadada kisa kuwahi siti enyi wavulana wa dar??
Sie wa mikoani kukaa kwenye siti sio ishu kabisa hata dirishani unaninginia
 
Usichelewe nitaongeza ya pili huku[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mkuu ongeza tu ikibidi agizia Kreti zima.[emoji23][emoji23][emoji23] Si kwa uandishi huo, nitakutafuta aisee.
 
Wanaume wa dar wana mengi jamani..meeengiiii sana hayaishi wala kupungua. Waacheni tu jomoni.
Cheers to wanaume wa dar
Hakika nimengi sanaa nambaya zaidi hawajioni nahawako tayar kufanya mabadiliko. .ila nyie wadada wao pia muwasaidie ,muwe mnawachana laivu banaaa [emoji23] [emoji23] .
Mwanaume Wa Dar juice ya Muwa mpaka akamuliwe ,iweke kwa glass .,,, sasa balaaa nihiliiii....Chips wanalia Toothpick ,nasoda wanatumia mirija .wao wanaiita ustaarabu ukimgusa kiganja lainiiiiiiiii km mtoto mchanga.
 
Wanaume wa dar wana mashauzi sanaa! Yaani wanajikutaga warembo kinoma noma
 
hahahaaa yani ndo umeamua kuwaharibu kabisaaaaaa[emoji2]

wanaume wa dar..!!!! Endeleeni hvo hvo ndo maisha mliochagua.....kubeba begi kubwa siku nzima afu umeweka earphone tu[emoji13]

[HASHTAG]#Atubu[/HASHTAG]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wewee
 
mi wamenionesha kitu kipya sikuwahi kukiona mkoani, kusukuma wanawake ili wawahi siti ya gari.... Happy new year wanaume wote wa darrrr
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Bajeti ya saloon mnagawana pasu kwa pasu.
 
Nachowapendea wanaume wa dar
1.chakula chenu chips mayai
2. Hamuhangaiki na miganda ya miwa mchane fidhi za meno na midomo yenu,nyie juice ya muwa tu. Kamua nyie mwanywa tu.
3.Hamna shida,mwizi akikuibia unasema kamata mwizi,kamata mwizi usipo sikika unaachana nae.
4. Mnanichosha kwa wivu tu,mnataka mfanane na sie dada zenu,mnavaa pedo siku hizi,vibukta vya beach tunapishana navyo barabarani...chaaaa
Kubwa mnaloweza wanaume wa dar ni kuitikia vituo kwa makonda utasikia "shushaaa" kwa sauti kuuuubwaaa ili akikupitisha kituo ukiwashe a.k.a uamshe dude.
Nawapendea hivyo hivyo dear wanaume wa dar.
Cheers to you
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom