abdallah chongono
JF-Expert Member
- Dec 4, 2017
- 351
- 196
JomoniLeo hii itakuwa agenda yangu kwenye lile jukwaa la popooooZ ili unieleweshe vizuri.
Dah hicho kimsemo cha wanaume wa dar hicho "jomoni"Jomoni
Cha kaka zangu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Dah hicho kimsemo cha wanaume wa dar hicho "jomoni"
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nachowapendea wanaume wa dar
1.chakula chenu chips mayai
2. Hamuhangaiki na miganda ya miwa mchane fidhi za meno na midomo yenu,nyie juice ya muwa tu. Kamua nyie mwanywa tu.
3.Hamna shida,mwizi akikuibia unasema kamata mwizi,kamata mwizi usipo sikika unaachana nae.
4. Mnanichosha kwa wivu tu,mnataka mfanane na sie dada zenu,mnavaa pedo siku hizi,vibukta vya beach tunapishana navyo barabarani...chaaaa
Kubwa mnaloweza wanaume wa dar ni kuitikia vituo kwa makonda utasikia "shushaaa" kwa sauti kuuuubwaaa ili akikupitisha kituo ukiwashe a.k.a uamshe dude.
Nawapendea hivyo hivyo dear wanaume wa dar.
Cheers to you
Walahiii utakuwa na kimchepuko cha dar [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wanaume wa dar hawali mipilipili mbuzi sijui pilipili kichaa ili iweje?? atoe ulimi nje kama mbwa au[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wao wanakuambia chachandu buana Mara ya kwa mpemba,Mara ya kwa sadamu makuku,sijui ya mamboz wanajua mitaa yote. Chedhea wa daslama wewe [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]wananimaliza na msemo wao "kwetu dar" [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] aaaaaagh cheers boys and men from daslama
Evelyn Salt
Umenichekesha sana we dada kwenye huu uzi.Hivi mwanaume ili aitwe mwanaume wa dar anatakiwa akae muda gani.Manake najaribu kuimagine msukuma(kwa mfano)akikaa dar mwaka tu atakua na hizo tabia .Jomoni jomoni, usiseme hivo. Gonga cheers kwanza.
Mi nawaelewa sana wanaume wa dar hamjui tu. Na mnavopenda juice za miwa zenye tangawizi na hiriki. Waache wanawaonea wivu wa mkoa wanakomaa na mafundo ya mua mpaka midomo ina chanika.
Cheers[emoji482]
Mnakutana na wachovuu,kuna siku mtu atakimbia huku kavaa kufuli lake kichwaniNachowapendea wanaume wa dar
1.chakula chenu chips mayai
2. Hamuhangaiki na miganda ya miwa mchane fidhi za meno na midomo yenu,nyie juice ya muwa tu. Kamua nyie mwanywa tu.
3.Hamna shida,mwizi akikuibia unasema kamata mwizi,kamata mwizi usipo sikika unaachana nae.
4. Mnanichosha kwa wivu tu,mnataka mfanane na sie dada zenu,mnavaa pedo siku hizi,vibukta vya beach tunapishana navyo barabarani...chaaaa
Kubwa mnaloweza wanaume wa dar ni kuitikia vituo kwa makonda utasikia "shushaaa" kwa sauti kuuuubwaaa ili akikupitisha kituo ukiwashe a.k.a uamshe dude.
Nawapendea hivyo hivyo dear wanaume wa dar.
Cheers to you
Basi na yeye aki adopt anajiita wa daslama. Sio kama sisi ndio huwaita,hapana ni wao wenyewe...utasikia kwetu dar,naishi dar full bata. Ukimuuliza kazi yakw ni kubet,pen na karatasi kila kona.Hatari hatariUmenichekesha sana we dada kwenye huu uzi.Hivi mwanaume ili aitwe mwanaume wa dar anatakiwa akae muda gani.Manake najaribu kuimagine msukuma(kwa mfano)akikaa dar mwaka tu atakua na hizo tabia .
Nawapenda tu qenyewe wana kamsemo kao nakapendaga hako "jomoni".[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Walahiii utakuwa na kimchepuko cha dar [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Juzi nilipokuja Dar, nikapita sehem nikaagiza chakula eti nikaambiwa kuna chips kuku...[emoji34] [emoji34] [emoji34] [emoji34]Kwani wanatuchukuliaje? Maana kila tukio lililoshindwa kukamilishwa na Mwanaume Fulani utasikia ooo..wanaume wa dar ndio wameshindwa,akitotokea mtu muoga,mwenye udhaifu anaitwa mwanaume wa dar,tunaonekana wanaume wa Dar sio majasiri,shupavu,waoga na wadhaifu, hii haikubaliki.
Msituchukulie poa aiseee