Wanaume wa Dar tumechoka kudharaulika!

Wanaume wa Dar tumechoka kudharaulika!

Hivi mwanaume utakulaje chips yani MTU mzima unadiriki kula chipsi ahaaaa huku kwetu ni mboga tunalia ugali ukija zipo stendi kwa ajili ya wasafiri na watoto wachanga ndio wanaokula ILA wasafiri wenyewe wa dar alafu hawa mwanaume dar hivi wakila chips wanashiba au
 
Kwa hivo na mm nikitoka huku kwetu TABORA na kuenda dar na me nitakua mwanaume wa dar?
 
Wanaume wa dar mko lege lege sana hanwezi kuwafikisha madem zenu ndo maana wakijaga huku mkoani tukiwagonga kisawa sawa utasikia we mwanaume kiboko sijawahi ridhishwa na mwanaume yeyote. Ila we umenifikisha vizuri
 
Nachowapendea wanaume wa dar
1.chakula chenu chips mayai
2. Hamuhangaiki na miganda ya miwa mchane fidhi za meno na midomo yenu,nyie juice ya muwa tu. Kamua nyie mwanywa tu.
3.Hamna shida,mwizi akikuibia unasema kamata mwizi,kamata mwizi usipo sikika unaachana nae.
4. Mnanichosha kwa wivu tu,mnataka mfanane na sie dada zenu,mnavaa pedo siku hizi,vibukta vya beach tunapishana navyo barabarani...chaaaa
Kubwa mnaloweza wanaume wa dar ni kuitikia vituo kwa makonda utasikia "shushaaa" kwa sauti kuuuubwaaa ili akikupitisha kituo ukiwashe a.k.a uamshe dude.
Nawapendea hivyo hivyo dear wanaume wa dar.
Cheers to you
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Wanaume wa dar hawali mipilipili mbuzi sijui pilipili kichaa ili iweje?? atoe ulimi nje kama mbwa au[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wao wanakuambia chachandu buana Mara ya kwa mpemba,Mara ya kwa sadamu makuku,sijui ya mamboz wanajua mitaa yote. Chedhea wa daslama wewe [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]wananimaliza na msemo wao "kwetu dar" [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] aaaaaagh cheers boys and men from daslama

Evelyn Salt
Walahiii utakuwa na kimchepuko cha dar [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hivi na wale wanaolelewa na majimama ni kundi la wanaume wa dar ??
 
Jomoni jomoni, usiseme hivo. Gonga cheers kwanza.
Mi nawaelewa sana wanaume wa dar hamjui tu. Na mnavopenda juice za miwa zenye tangawizi na hiriki. Waache wanawaonea wivu wa mkoa wanakomaa na mafundo ya mua mpaka midomo ina chanika.
Cheers[emoji482]
Umenichekesha sana we dada kwenye huu uzi.Hivi mwanaume ili aitwe mwanaume wa dar anatakiwa akae muda gani.Manake najaribu kuimagine msukuma(kwa mfano)akikaa dar mwaka tu atakua na hizo tabia .
 
Mwanaume wa Dar akijiselifisha zake polepole!![emoji116]
 

Attachments

  • IMG_20171230_205056_626-1.JPG
    IMG_20171230_205056_626-1.JPG
    55.8 KB · Views: 15
Nachowapendea wanaume wa dar
1.chakula chenu chips mayai
2. Hamuhangaiki na miganda ya miwa mchane fidhi za meno na midomo yenu,nyie juice ya muwa tu. Kamua nyie mwanywa tu.
3.Hamna shida,mwizi akikuibia unasema kamata mwizi,kamata mwizi usipo sikika unaachana nae.
4. Mnanichosha kwa wivu tu,mnataka mfanane na sie dada zenu,mnavaa pedo siku hizi,vibukta vya beach tunapishana navyo barabarani...chaaaa
Kubwa mnaloweza wanaume wa dar ni kuitikia vituo kwa makonda utasikia "shushaaa" kwa sauti kuuuubwaaa ili akikupitisha kituo ukiwashe a.k.a uamshe dude.
Nawapendea hivyo hivyo dear wanaume wa dar.
Cheers to you
Mnakutana na wachovuu,kuna siku mtu atakimbia huku kavaa kufuli lake kichwani
 
Wanaume wa Dar ratba zenu ndio zinanishangaza

asubuhi kijiweni
Mchana kwenye kubet
Jioni kwenye supu ya pweza
Usiku (saa 1-4) kuzurura kuangalia makahaba au vigodoro
Usiku wa saa 5 nk muda wa kurudi geto kulala

Kesho ratba itaendelea hapo kula ni kwa mama, hakuna kufanya kazi kuna vyumba vya wapangaji kwa wazee
 
Umenichekesha sana we dada kwenye huu uzi.Hivi mwanaume ili aitwe mwanaume wa dar anatakiwa akae muda gani.Manake najaribu kuimagine msukuma(kwa mfano)akikaa dar mwaka tu atakua na hizo tabia .
Basi na yeye aki adopt anajiita wa daslama. Sio kama sisi ndio huwaita,hapana ni wao wenyewe...utasikia kwetu dar,naishi dar full bata. Ukimuuliza kazi yakw ni kubet,pen na karatasi kila kona.Hatari hatari
 
Wanaume wa dar acha tu kaka angu,hawachelewi ukitoka nae geto anakupa elfu 10 mkifika mbele anakuambia babe lipa basi,unatoa kale ka elfu 10 unalipia sahani mbili ya chakula chao pendwa "chips mayai" elfu tano ngwaaaaa inaenda anaagiza na soda etu babe we usinunue,hii pepsi nitapata free soda,akifungua holaaaa anakuta DARE FOR MORE...pespi nao wana waangushaga wanaume wa dar jomoni. Haya hapo utasikia babw chukua na wewe basi. Unajikuta umebakiwa na elfu 4 tu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] then mnagpnga selfie zenu za kibab hapo,then unaambiwa babe hebu nipe huku kwanza nijiunge bundle nipost picha. Elfu 2 kwendraaaaaaaaaa. Unabakiwa na elfu 2 unapanda zako boda boda unalipia buku unabaki na buku,akikutumia sms hujibu akipiga ukasema huna salio anakuambia si umebakiwa na ela,nunua babe jiunge tuchat.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wanaume wa dar hamfai kwa chumvi wala sukari,kwa kulumangira wala mchuzi
 
  • Thanks
Reactions: Lee
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
f9e133512e35b56f387c9822cb74c221.jpg
 
Kwani wanatuchukuliaje? Maana kila tukio lililoshindwa kukamilishwa na Mwanaume Fulani utasikia ooo..wanaume wa dar ndio wameshindwa,akitotokea mtu muoga,mwenye udhaifu anaitwa mwanaume wa dar,tunaonekana wanaume wa Dar sio majasiri,shupavu,waoga na wadhaifu, hii haikubaliki.
Msituchukulie poa aiseee
Juzi nilipokuja Dar, nikapita sehem nikaagiza chakula eti nikaambiwa kuna chips kuku...[emoji34] [emoji34] [emoji34] [emoji34]
Nilichukia sana na nikaamua nirudi mkoani siku iliofuata bila kula....[emoji37] [emoji37]
 
Back
Top Bottom