Wanaume wa hit and run wanaongezeka kwa kasi ya ajabu mno aisee💔

Kabisa ndio maana nakupenda
 
Yaani nimeachana nae siku hiyo hiyo alipoanza kuleta mada zake za kutaka tunda mpaka leo hajapiga simu
Wanatuchukulia wote n wanawake wa kuchezea wakidhan Kwa sababu ya shida zetu basi watatupelekesha wanavyotaka, asikupelekeahe huyo kama hujamkubali achana nae sio kila mtu n cheap km wanavyodhani.
 
Basi mambo ni vice versa kumbe
 
Kwani watu wanatoa wapi nguvu za kuvuliana chupi na hawaja oana
kuoana sio njia la asili mkuu hyo ni man made , kucross asili ni jambo linaloshangaza na kuhuzunisha mno .
 
umeongea kwa hisia sana 😂
 
sii tumekubaliana wanaume waombe mbusus wanawake waombe hela. hakuna kupotezeana muda bwana.
wanasema eti hawakupi mpaka wakufeel..... sasa usubirie mpaka wakufeel genye unapeleka wapi😂 mwanaume ukitaka sex inadidi ufuate process ndefu ila kwa mwanamke ni rahisi tu... duh
 
wanasema eti hawakupi mpaka wakufeel..... sasa usubirie mpaka wakufeel genye unapeleka wapi😂 mwanaume ukitaka sex inadidi ufuate process ndefu ila kwa mwanamke ni rahisi tu... duh
Wakufeel wapi bwana wewe hawa wenyewe wanasema wakiona zile noti mbususu ilowa yenyewe wee ni kuteleza tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…