Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I understand vyote ulivyoongea ni kweli na inakuwaje kwa mtu ambae mmekutana restaurant tu tena huenda ukawa huna hata mpango nae nae ulienda kwa mambo Yako ya kula na kuondoka? Hapo imekaaje?This is the game of timing. Ulichokisema ni sawa kabisa and the vice-versa is true. Hata wanawake imagine mmekutana hata wiki haijaisha anaanza kukuomba hela. Boys kuweni makini.
In short ukiona mwanaume amekutongoza halafu akakuomba game any time soon, ujue kuna udhaifu kwako kauona au hicho ndio kilichomfanya akutongoze.
Kitu msichojua wanawake kuhusu sisi vidume ni kwamba, ninaweza kukutongoza kwa nia nzuri kabisa. Ila mazungumzo yetu na the way unavyo behave naweza ku conclude kua hapa ni penyewe au hakuna kitu hapa.
Sasa itokee niwe na conclusion nzuri ila nikiona hapa hakuna kitu huwa hatuwaambii wala hatuwapotezei ila tunataka walau tuchape ndio tukuache uende.
So be careful unapotongozwa. Kuombwa ngono inawezekana ni matokeo ya ulivyo jiweka. Nimekutongoza leo kesho kutwa unaomba pesa. Wewe unaweza kufikiri unanitega uone kama nitaweza kukuhudumia ila tafsiri yetu huwa ni tofauti kabisa. Kitakachofua nitakupa pesa unayoitaka ila huku nikiweka mazingira ya kupata game as soon as possible.
Win win situation
Bila hela mnatoaga penzi nyie?Wanawake ni tofauti na wanaume jamani sisi tunatoa penzi kwa mtu ambae tuna mfeel
Hizo feelings zinatengenezwa ndani ya siku mbili tu? Ukumbuke kuwa wanawake tunajenga upendo taratibu na ndio hapo tunaanza kupata feelings ... Tofauti na wanaume ambao wao huwa wanaongozwa na tamaaHayo ya kusubirishana nishayakataa,
Binti Anakusubirisha uku pesa zako anachukua
Afu Unakuta Kuna huyo mhuni mmoja akipiga sim moja tu mwanamke keshaloa,mbususu anaipeleka mwnyw.
Mwamba anamla Bure hata mia hatoi
na makofi ya makalioni anampiga,
afu wewe mr.nice man unawekwa pending list Kwa matumaini feki na ahadi ya ndoa.[emoji3525]
Mkuu unamaanisha wake za watu wanaliwa kirahisi sanaNajua hilo sijakataaa kabisa
Lakini hit and run tunafanya kwa tamaa zetu wenyewe
Also nikipata ashki natongoza hata mademu 8 kwa siku lzm mmoja aingie kingi namla siku hiyo hiyo nasepa
Mind you wake za watu ndo mserereko 🏄🏄🏄🏄🏄🏄🏄🏄🏄 kama baharini vile 😁😁😁😁😁
💯🤝Nimekutongoza leo kesho kutwa unaomba pesa. Wewe unaweza kufikiri unanitega uone kama nitaweza kukuhudumia ila tafsiri yetu huwa ni tofauti kabisa. Kitakachofua nitakupa pesa unayoitaka ila huku nikiweka mazingira ya kupata game as soon as possible.
Win win situation
Umeandika point tupu,This is the game of timing. Ulichokisema ni sawa kabisa and the vice-versa is true. Hata wanawake imagine mmekutana hata wiki haijaisha anaanza kukuomba hela. Boys kuweni makini.
In short ukiona mwanaume amekutongoza halafu akakuomba game any time soon, ujue kuna udhaifu kwako kauona au hicho ndio kilichomfanya akutongoze.
Kitu msichojua wanawake kuhusu sisi vidume ni kwamba, ninaweza kukutongoza kwa nia nzuri kabisa. Ila mazungumzo yetu na the way unavyo behave naweza ku conclude kua hapa ni penyewe au hakuna kitu hapa.
Sasa itokee niwe na conclusion nzuri ila nikiona hapa hakuna kitu huwa hatuwaambii wala hatuwapotezei ila tunataka walau tuchape ndio tukuache uende.
So be careful unapotongozwa. Kuombwa ngono inawezekana ni matokeo ya ulivyo jiweka. Nimekutongoza leo kesho kutwa unaomba pesa. Wewe unaweza kufikiri unanitega uone kama nitaweza kukuhudumia ila tafsiri yetu huwa ni tofauti kabisa. Kitakachofua nitakupa pesa unayoitaka ila huku nikiweka mazingira ya kupata game as soon as possible.
Win win situation
Ukiona unatumia mda kumpenda mtu ujue unajilazimisha, Ile kitu ni automatical the first sightHizo feelings zinatengenezwa ndani ya siku mbili tu? Ukumbuke kuwa wanawake tunajenga upendo taratibu na ndio hapo tunaanza kupata feelings ... Tofauti na wanaume ambao wao huwa wanaongozwa na tamaa
Kuna dem nishapiga after 6 weeks. Ana mizinga mpaka unajiuliza huyu maisha yake yalikuwaje before me. Tupa kuleNyie mbona nusu saa nyingi mshaanza vizinga
Damn! Unakuta mtu analeta yale mambo ya awwww una kashape kazuri, Eti nimekuota leo (wet dreams)😤💔 na hamjazoeana
Hata sisi tunatongoza dem unaye mfeelWanawake ni tofauti na wanaume jamani sisi tunatoa penzi kwa mtu ambae tuna mfeel