Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tamthilia zinawaharibu wadada, na wahuni wanaozijua tamthilia wanawatafuna wanatembea,Ulitaka alete stori za taifa starz!!
Umebigwa issue nini?Wanaume wa hit and run wanaongezeka kwa kasi ya ajabu mno aisee💔 Ladies kuweni makini ... Imagine mtu mmekutana hamna Hata week ameshaanza kuleta stories za Mapenzi 😤🙌
mungu anakuona we mtu, mwaka mzima huoni kama unampotezea mda mwenzioBora huyo anakula la kuondoka hana usumbufu ndan ya wiki. Mimi najifanya nakutaka na nakulaa mwaka alafu naondoka zangu
Na wale wawapao pesa Kama Hana hela feelings zinapotea inakuwaje hapo madame.Wanawake ni tofauti na wanaume jamani sisi tunatoa penzi kwa mtu ambae tuna mfeel
Kwani we bikra kwamba utaharibu usichana wako?!!!Yaani hawa wanaume wanatufanya tuwaogope for real, mtu Hata hamjaanza kupendana vizuri analeta nada zake[emoji36][emoji174]
Kuwa seeious wewe upendo bila pesa ni kujidanganya tuu. Kula hela ya mwanaume wewe mwanamke gani unakula hela yako mwenyewe? Wa hivyo ni wale ambao hawana sura au chura🤣🤣🤣🤣Wengine tunahitaji upendo, sio wote wanategemea hela za wanaume 🙄
The same applied to any professional or any career unajua kuwa kinachoenda kutokea kabla hata hakijatokea. Yaani Ile instinctually nadhani. Hata mfanyabiashara anajua kuwa biashara hii inalipa, Ina faida ama Hakuna kitu hata nikikukomaa miaka kumimazungumzo yetu na the way unavyo behave naweza ku conclude kua hapa ni penyewe au hakuna kitu hapa.
Once a woman starts sayingWanaume wa hit and run wanaongezeka kwa kasi ya ajabu mno aisee[emoji174] Ladies kuweni makini ... Imagine mtu mmekutana hamna Hata week ameshaanza kuleta stories za Mapenzi [emoji36][emoji119]
Nyie ndio wale vishoia mnakuwaga wasumbufu kutoa kitumbua huku mkiwa hamna mbele wala nyuma 😏Wanaume wa hit and run wanaongezeka kwa kasi ya ajabu mno aisee💔 Ladies kuweni makini ... Imagine mtu mmekutana hamna Hata week ameshaanza kuleta stories za Mapenzi 😤🙌
YessiiiiirThis is the game of timing. Ulichokisema ni sawa kabisa and the vice-versa is true. Hata wanawake imagine mmekutana hata wiki haijaisha anaanza kukuomba hela. Boys kuweni makini.
In short ukiona mwanaume amekutongoza halafu akakuomba game any time soon, ujue kuna udhaifu kwako kauona au hicho ndio kilichomfanya akutongoze.
Kitu msichojua wanawake kuhusu sisi vidume ni kwamba, ninaweza kukutongoza kwa nia nzuri kabisa. Ila mazungumzo yetu na the way unavyo behave naweza ku conclude kua hapa ni penyewe au hakuna kitu hapa.
Sasa itokee niwe na conclusion nzuri ila nikiona hapa hakuna kitu huwa hatuwaambii wala hatuwapotezei ila tunataka walau tuchape ndio tukuache uende.
So be careful unapotongozwa. Kuombwa ngono inawezekana ni matokeo ya ulivyo jiweka. Nimekutongoza leo kesho kutwa unaomba pesa. Wewe unaweza kufikiri unanitega uone kama nitaweza kukuhudumia ila tafsiri yetu huwa ni tofauti kabisa. Kitakachofua nitakupa pesa unayoitaka ila huku nikiweka mazingira ya kupata game as soon as possible.
Win win situation
Mwanamke usimpe muda wa kufikiria😂Nilichogundua kuhusu hawa wanawake hutakiwi kumuomba mbususu kwenye simu wengi wanakataaga
Cha kufanya ni kutengeneza mazingira aje ghetto tu akishaingia hapo asilimia za kuliwa ni 97%