Wanaume wa hit and run wanaongezeka kwa kasi ya ajabu mno aisee💔

Wanaume wa hit and run wanaongezeka kwa kasi ya ajabu mno aisee💔

mazungumzo yetu na the way unavyo behave naweza ku conclude kua hapa ni penyewe au hakuna kitu hapa.
The same applied to any professional or any career unajua kuwa kinachoenda kutokea kabla hata hakijatokea. Yaani Ile instinctually nadhani. Hata mfanyabiashara anajua kuwa biashara hii inalipa, Ina faida ama Hakuna kitu hata nikikukomaa miaka kumi
 
Wanaume wa hit and run wanaongezeka kwa kasi ya ajabu mno aisee[emoji174] Ladies kuweni makini ... Imagine mtu mmekutana hamna Hata week ameshaanza kuleta stories za Mapenzi [emoji36][emoji119]
Once a woman starts saying

"A real man is this..."

"A real man does this..."

"You are not a real man."

Just avoid her. Run.

A real man avoids such a woman.

#BetterTogether
 
Wanaume wa hit and run wanaongezeka kwa kasi ya ajabu mno aisee💔 Ladies kuweni makini ... Imagine mtu mmekutana hamna Hata week ameshaanza kuleta stories za Mapenzi 😤🙌
Nyie ndio wale vishoia mnakuwaga wasumbufu kutoa kitumbua huku mkiwa hamna mbele wala nyuma 😏

Alafu mnapenda kuombaomba hela nyie acha tu.

Acha niendelee na vibonge wangu wasio na makuu 😊
 
This is the game of timing. Ulichokisema ni sawa kabisa and the vice-versa is true. Hata wanawake imagine mmekutana hata wiki haijaisha anaanza kukuomba hela. Boys kuweni makini.

In short ukiona mwanaume amekutongoza halafu akakuomba game any time soon, ujue kuna udhaifu kwako kauona au hicho ndio kilichomfanya akutongoze.

Kitu msichojua wanawake kuhusu sisi vidume ni kwamba, ninaweza kukutongoza kwa nia nzuri kabisa. Ila mazungumzo yetu na the way unavyo behave naweza ku conclude kua hapa ni penyewe au hakuna kitu hapa.

Sasa itokee niwe na conclusion nzuri ila nikiona hapa hakuna kitu huwa hatuwaambii wala hatuwapotezei ila tunataka walau tuchape ndio tukuache uende.

So be careful unapotongozwa. Kuombwa ngono inawezekana ni matokeo ya ulivyo jiweka. Nimekutongoza leo kesho kutwa unaomba pesa. Wewe unaweza kufikiri unanitega uone kama nitaweza kukuhudumia ila tafsiri yetu huwa ni tofauti kabisa. Kitakachofua nitakupa pesa unayoitaka ila huku nikiweka mazingira ya kupata game as soon as possible.

Win win situation
Yessiiiiir
 
Back
Top Bottom