Wanaume wa hit and run wanaongezeka kwa kasi ya ajabu mno aisee💔

Wanaume wa hit and run wanaongezeka kwa kasi ya ajabu mno aisee💔

Hawa wanawake wa bongo ambao hata kuvaa hawajui wapo Kama midoli tu
Kucha ndefu mawigi na mamisuko fake nani aoe hapo

Wanawake wa kuwekwa ndani wapo wale wa kiislamu swala tano bikra sio nyie ambao hamna bikra nyie toeni uchi tu vijana wa enjoy
 
Kama hauna bikra we toa uchi Hakuna Mwanaume mjinga wa kuoa Mwanamke fake .
 
Yaani hawa wanaume wanatufanya tuwaogope for real, mtu Hata hamjaanza kupendana vizuri analeta nada zake😤💔
Sasa wewe hujaanza kupendana vizuri na mimi,unataka upendane vizuri na pesa zangu.Wapi na wapi🤣🤣🤣🤣.
 
Hawa wanawake wa bongo ambao hata kuvaa hawajui wapo Kama midoli tu
Kucha ndefu mawigi na mamisuko fake nani aoe hapo

Wanawake wa kuwekwa ndani wapo wale wa kiislamu swala tano bikra sio nyie ambao hamna bikra nyie toeni uchi tu vijana wa enjoy
Mzeee umekariri wanawake wa kiislamu tu.Safiri duniani uone mkuu,kuna wanawake zaidi ya hao wenye mapokeo ya dini ya kiarabu mkuu.
 
Mpaka nikuzoee haswaa ndio nikutangazie shida tena sio mara kwa mara
Ila mna mbwinu siku hizii, sio mbinu mna MBWINUU ni balaa
Hapana Mkuu, wanawake tunatofautiana kuna wale ambao mpaka wakuzoee ndio wanaomba haswa wakiwa na shida na sio mara kwa mara.
🤔
Damn! Unakuta mtu analeta yale mambo ya awwww una kashape kazuri, Eti nimekuota leo (wet dreams)😤💔 na hamjazoeana
Sawa mama ka shape 🙌

Kuna jitu linapigwa muda si mref kama si tayari!!
 
Back
Top Bottom