Wanaume wa hit and run wanaongezeka kwa kasi ya ajabu mno aiseeπŸ’”

Wanaume wa hit and run wanaongezeka kwa kasi ya ajabu mno aiseeπŸ’” Ladies kuweni makini ... Imagine mtu mmekutana hamna Hata week ameshaanza kuleta stories za Mapenzi πŸ˜€πŸ™Œ
Huyo jamaa naye ni fala tu, yaani wiki nzima yupo tu na wewe? Alitakiwa awe ameshakukula, siyo kukutamkia tu
 
Damn! Unakuta mtu analeta yale mambo ya awwww una kashape kazuri, Eti nimekuota leo (wet dreams)[emoji36][emoji174] na hamjazoeana
Duh
Hapo tuseme unakutana na wale wanao tafuta tu sehemu ya kupunguza nyege zao. Kauli hizo mara nyingi labda ndiyo zina onyesha hata faa huko mbele. Na labda mkisha badilisha numba muwaulize wana nia gani kwanza kuhitaji numba yako? Katisha mlolongo mrefu
 
😁😁 kona kona za nn si aseme tu "me ni mwanamke mwenye ka shape, usiniombe tunda siku ya kwanza ila pesa zako ntakula, karibuni pm" tungepunguza mlolongo.
Sijakaribisha PM na wala sijaji identify mimi mkuu ni mfano nimetolea.
 
Noma sana.
 
Wanaume wa hit and run wanaongezeka kwa kasi ya ajabu mno aisee[emoji174] Ladies kuweni makini ... Imagine mtu mmekutana hamna Hata week ameshaanza kuleta stories za Mapenzi [emoji36][emoji119]
Hutaki kutombw*?
 
Kwa sababu mnapiga sana vizinga! Ebu acheni muone kama hatutulii basi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…