Wanaume wa JamiiForums ambao hampati PM wala kujibiwa PM na wanawake jiulize mpo kwenye Majukwaa gani?

Kumbe ndio hujawahi kujibu PM yangu.

Daaaahhhh, mtaani vyuma, JF PM hujibiwi, kazini Boss hovyo, Mama Chanja kashitaki kwa DAB.

Sina pa kwenda labda segerea[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Poleeee sna ndugu
 

Aisee, kumbe ndio vigezo vyenyewe. Ngoja upepo wa Makonda upite nijaribu bahati yangu.
 
Aaah sasa pso wakileta ngele. Nkimanile sana kyakikunde wikiuga numulelwe kwilyamba.

PM ni ndishe kusilye ingo, ungelile mpana ne?
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]tile ka mpana muntu uyandika mambo ma kisunguuu wani waze kupm yakooo

Kutakile antu na atete msimamo kana ushemeji wako Mshana
 
sorry mkuu, mi npo kundi gan? Maana si haba angalau unanijibu pm zangu.. Cha kusikitisha tupo wote mtaa mmoja hapa dom makao makuu, ila hutak tuonane Demiss
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…