Wanaume wa JamiiForums ambao hampati PM wala kujibiwa PM na wanawake jiulize mpo kwenye Majukwaa gani?

Ndio mtazam wangu kwan kuna collabo ya id hapoooo
Hahahahahahaaaa,usiwaze sana hyo ni subjectivity ila ukiisoma vbaya thread unaona kama kuna some elements of objectivity,ila hongera pia!
 
Sidhani kama kuna ukweli hapa, mbona kapo zote zinazojinadi humu ndio zinashinda kwny haya majukwaa ma3 uliyotaja chitchat na mmu?

Labda uniambie hz ni kapo kwa ajili ya maonyesho tu na kusogezeana siku
 
Pm kweli napata maana kila kukicha lazima niwatumie maombi moderator hata kama ya kipuuzi ila pm uwe active tu. Kubet nimemaliza mtaji ila bado napigana na kubet[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Wewe mwanamke ni kiboko, yaan nimecheka kwa nguvu kama punguwani
 
Hivi Kuna watu wanakuja jf kutafuta mademu duh [emoji23][emoji23][emoji23] hao ni chini ya miaka 25 ndo bado wananguvu za kusumbuana na wanawake WA mitandaoni. Mi huwa nakuja kutoa stress kupitia comment
 
Niliedit uzi wa mtu wakanipa Ban toka Mwezi wa 2 nimemiss sana akaunti yangu yenye magari ila ndo hvyo sina uwezo wa kuipata kwa sasa.
Poleee sana ukiomba msamaha wanakufungulia mbona hawana roho mbayaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…