Huku baridi sanaUkifurahi na mm nafurahi nipo kwa ajili yakoooooo
Hatari, haya tambaa nao tuSiyo nikishibaaa nikipigwaa tu busu na mm e wangu lazimaa nitambeeee
Kweli kabisaaa!wapo walokua vzr humu MMU haswaaaMrs Jr wachuuze tu wenzio wabague nazi wainukie koroma, kwa taarifa yako mi naifahamu mishefa ya maana kama mi3 hivi huko jukwaa la Celebrity [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Mmoja anashughulika na ule utajiri wa ardhini, mwingine buloga wa maana tu, mwingine.............. Mmoja kati ya hao ni best angu sana!
Wengine jeiefu wamekuja kufurahi tu sio kuwa siriazi.
Ila mamdogo sio vizuri huo ushauri wako sasa wengine jukwaa la siasa wakajiokotee lumumba buku 7 au makamanda uchwara? Mungu anakuona ujue [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Khaaaaaaa hebu ngoja nikaufukue vizur[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] View attachment 739919
[emoji120][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]poleee sana rafik ngoja na mm nikutumie ziwe mbili
Nimejisalimisha mapemaaaaKhaaaaaaa hebu ngoja nikaufukue vizur[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Looh kumbe ulikuwa unavituko sanaaa
Mkuu nimeku-PM tafadhaliAfu mje kupanga foleni kwa RC na vilio juu.
Kumbe yote yalitokana na ka PM kamoko tu.
Nilikuwa sijui aisee...Ndioooo zetu ulikuwa hujui?