Wanaume wa JamiiForums ambao hampati PM wala kujibiwa PM na wanawake jiulize mpo kwenye Majukwaa gani?

Wanaume wa JamiiForums ambao hampati PM wala kujibiwa PM na wanawake jiulize mpo kwenye Majukwaa gani?

Mrs Jr wachuuze tu wenzio wabague nazi wainukie koroma, kwa taarifa yako mi naifahamu mishefa ya maana kama mi3 hivi huko jukwaa la Celebrity [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Mmoja anashughulika na ule utajiri wa ardhini, mwingine buloga wa maana tu, mwingine.............. Mmoja kati ya hao ni best angu sana!

Wengine jeiefu wamekuja kufurahi tu sio kuwa siriazi.

Ila mamdogo sio vizuri huo ushauri wako sasa wengine jukwaa la siasa wakajiokotee lumumba buku 7 au makamanda uchwara? Mungu anakuona ujue [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli kabisaaa!wapo walokua vzr humu MMU haswaaa
 
Khaaaaaaa hebu ngoja nikaufukue vizur[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Looh kumbe ulikuwa unavituko sanaaa
Nimejisalimisha mapemaaaa
 
Bikra yangu ya Pm sijui itatoka lini... hamna msamaria mwema (mdada) wa kuitoa
 
Back
Top Bottom