Wanaume wa JamiiForums ambao hampati PM wala kujibiwa PM na wanawake jiulize mpo kwenye Majukwaa gani?

Sms zinakuwa hivi

1:05
Mambo valentine

2:40
Habari yako mrembo

4:00
Mbona kimyaaa mamy

6:9
Nijibu basi nina shida na wewe

8:09
Nitext whastap +45456888

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji28][emoji23][emoji23] wee Demiss wewee
 
Sms zinakuwa hivi

1:05
Mambo valentine

2:40
Habari yako mrembo

4:00
Mbona kimyaaa mamy

6:9
Nijibu basi nina shida na wewe

8:09
Nitext whastap +45456888

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Hiyo hata mie sikujibu. Ntapita tu pembeni. Sijisumbui hata kufukua uzi
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hii Account ya dharura account yangu kuu yenye magari ina Ban ya Muda mrefu sana.

Mjini kila mmoja ana gari.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]nimekutekenyaaa upele umeamua kujikuna haya kwann ulikula ban ya muda mrefu

Tuanzie hapo kwanzaaa
 
Ndo maana nikasema walikuwa wananipa wakat mgumu sana nilijaribu kucheza biko nikakutana na mmoja akiiiii sikuamini macho yanguuuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] alikutumia picha
 
dah, kumbe hahahaha,,,
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]kufukua makabur hakujawahi kumuacha mtu salamaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…