Wanaume wa JamiiForums nawajibu kwa nini tunawafungia PM na wengine hatuwajibu

Wanaume wa JamiiForums nawajibu kwa nini tunawafungia PM na wengine hatuwajibu

Ah! Binamu bhana, sio kila mwenye kikojoleo kinachoning'inia ni mwanaume. Mungu ametoa bila hiyana vikojoleo vinavyoning'inia kwa makundi yafuatayo:
1. Wanaume
2. Wavulana
3. Vivulana!

Unafanya kosa kubwa sana unapotuchanganya Wanaume pamoja na vivulana na hata wavulana!! Hao unaowazungumzia ni vivulana, and of course, wengine ni wavulana!

NOTE: Sometimes hata mtu mwenye rika la Le Mutuz anaweza ku-behave kama kivulana huku mwenye rika la Dogo Janja aki-behave like a real man!
 
Shikamoo chige
Ah! Binamu bhana, sio kila mwenye kikojoleo kinachoning'inia ni mwanaume. Mungu ametoa bila hiyana vikojoleo vinavyoning'inia kwa makundi yafuatayo:
1. Wanaume
2. Wavulana
3. Vivulana!

Unafanya kosa kubwa sana unapotuchanganya Wanaume pamoja na vivulana na hata wavulana!! Hao unaowazungumzia ni vivulana, and of course, wengine ni wavulana!

NOTE: Sometimes hata mtu mwenye rika la Le Mutuz anaweza ku-behave kama kivulana huku mwenye rika la Dogo Janja aki-behave like a real man!
 
Back
Top Bottom