[emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hivi ni kweli unayasave
Wewe kama Mimi..Mbona ipo sema miye muoga wa hayo magrupu balaa!!
Hahhahahhaha yaan machuchu ndio neno lake pendwaYaani machuchu ameyaelewa sana!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahaaa!!! Ahsante dada Shunie basi siku nikija PM usinisemelezee hapa JF manake nimemwambia Malcom Lumumba kwamba mimi na yeye tupo sawa tu... according to Demiss, hatupendeki hapa JF!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu naomba list ya masingo maza na mm nifanye yangu.
Mi mwenyewe singo dadi naweza pata colabo nzuri hapa.
Eti wabaya kukuzidi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bora nimeifunga tu maana vimtu vingine vinakuja ni vitoto,wengine kama hivyo mnaanza kuwasiliana baadae unajua ni mapugi ,wengine utani wanaugeuza ukweli lo, hao wanasambaza pic wala msiwajali kwani mmeua ,jf siogopi mtu yeyote najiamini nilivyo anaeona mi wa ajabu yupo anaeniona wa maana na ni mzuri kwake , maana kuna watu wabaya kuzidi hata mimi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kingine nishapata mpenzi anaenipenda nampenda wala sihitaji pm
🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwanamke anayejiheshmu hawezi fanya ujinga kutuma picha kwa mtu wa jf kisa nini sasa
Mim sitongozagi wanawake kupitia mtandaoni, labda itokee bahat mbya.
NdiwoooooooHahaaa!!jamani!!full ignore list!umemtupa kwenye dastibin
Thnx my bro kana be blessed Mimi nashukuru toka niingie jf sijawahi kukumbana na kadhia kama hizo Niko makini mnoo!!
I do value my value!I so scared of my reputation coz I know once it tarnish it won't be cleared easily!!
Mimi naomba Mungu anilinde sana kuna watu siwajibu kabisaa PM kwa sababu naogopa mnooo Mimi ni kwanza ni mtoto nimezaliwa,mama,Dada,Wifi,shemeji,mwalimu,jirani,rafiki wa watu na mwanajf naogopa sanaa mtu kunidhalilisha naogopa mtu!
Nawaeshimu wote wanaoniheshimu
Bora nimeifunga tu maana vimtu vingine vinakuja ni vitoto,wengine kama hivyo mnaanza kuwasiliana baadae unajua ni mapugi ,wengine utani wanaugeuza ukweli lo, hao wanasambaza pic wala msiwajali kwani mmeua ,jf siogopi mtu yeyote najiamini nilivyo anaeona mi wa ajabu yupo anaeniona wa maana na ni mzuri kwake , maana kuna watu wabaya kuzidi hata mimi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kingine nishapata mpenzi anaenipenda nampenda wala sihitaji pm
Mungu amsamehe bureee!!!huyu kaka anakua kama pugiii!!