Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
Crush wa zaman na mimi nikusalimie hapa hapa....uko poa?Mmh mzee baba hizi sifa hizi usitake mzee wa mbuzi anitoe kule kwa gallery yake mie na kichwa changu kama nyanya chungu, ahsante kwa salamu sijambo.
Jamaa limebukua posts 1000 kutafuta udaku... hahahh hii komesha!kuwa mpole Mzee tuliza ball.
Nimeshaongea na mshana Jr usiwaze akijaribu tu anamhamishia jinsiaMmh mzee baba hizi sifa hizi usitake mzee wa mbuzi anitoe kule kwa gallery yake mie na kichwa changu kama nyanya chungu, ahsante kwa salamu sijambo.
Kudanga afya[emoji125] [emoji125]Pole shogaa. Uache kudanga sasa
Jamaa limebukua posts 1000 kutafuta udaku... hahahh hii komesha!
Hivi yupo kumbe??Ewaaaa huko sasa ndio uwanja wa nyumban..hahaha hapo kwa wanawake duta bae1 si unajua wife Jolie Jolie yupo humu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Raha yako nisipewe leo usiku
Yupoo...Hivi yupo kumbe??
Mbona umefunga mlango wa nyumban kwako Niko nje hapaHili jina la pugi linamuhusika wake sema na yeye ameshakuwa pugi tena na bwana Pepsi lake unalijua lile tangazo usikubali kukutwa na bwana pepsi
TrueSIJUI KWANN!!
but sijawahi kuona pm ni tatizo.
ever since!!
I think Aina ya watu nawaandikia au naandikiwa!!
Ninakaribia muongo humu!!
Sijawahi kuwa offended pm!!
NA sitegemei TU.
Yawezekama linajihisi hili limjamaa...halafu linazuga eti wanawake sijui nini!
labda alikuwa anajitafuta.
Hatari sana komredi. Miposti yote hiyo jamaa liko bize kujua nani katajwa!Hahahaaaaa daaah watu wana muda aisee!!
Mungu anakuonaEeeh Mungu nisaidie nisi comment kwenye huu uzi .
Ila ngoja kwanza .
Mimi nikiona mtu kani pm siku hizi nakemea kabisa.
Sasa hivi tunapiga za juu juu. Nana anataka kuwekwa papa lake wazi hiviiWanaogopa kumtaja wanajua mapapa na machuchu yatajaa huu uzi....mtunza kumbukumbu nipo kazini
Sasa hivi tunapiga za juu juu. Nana anataka kuwekwa papa lake wazi hivii
Mzee umemaindi au?Hatari sana komredi. Miposti yote hiyo jamaa liko bize kujua nani katajwa!