Hapa wacha nirest in peace until tomorrow
Hahahahahaa.. tena uondokeAcha uongo. Nami hujanipa?
Anywho ngoja nisepe hapa....hapanifai.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unataka kuona baya linakuwaje?? Sema suuuu nikuwekee hapa! Maana nina rundo la kila dizaini....teh teh.
NN anayo majibuBaya linakuwaje kuwaje kwani?
Liweke / yaweke tuone labda tutajua kutofautisha kuwa kumbe baya linakuwa na muonekano wa hiiiviiUnataka kuona baya linakuwaje?? Sema suuuu nikuwekee hapa! Maana nina rundo la kila dizaini....teh teh.
WoooiiiiiNN anayo majibu
Hahaaa![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] chit chat hii
Hata wewe huelewi?yaani hata sielewi naona kurasa zimetembea tu
Ila tukubali tu,usipoweka avatar ya mvuto au kuongea mambo fulan fulan huwez kupata pm!SIJUI KWANN!!
but sijawahi kuona pm ni tatizo.
ever since!!
I think Aina ya watu nawaandikia au naandikiwa!!
Ninakaribia muongo humu!!
Sijawahi kuwa offended pm!!
NA sitegemei TU.
mimi nkitoa hilo wezere napokea pm wanataka lirudi linawahamasisha kusomanafkr malengo ya kuwemo humu yanayofautiana!!
And by the way avatar zinasema kuhusu mivuto ya anayetumia Id?
yaani nina usingizi umbea huu hata siujui wala sijui mlengwa nani yaaani ngoja nilaleHata wewe huelewi?
Basi haina meno hii!
Habari ya siku kadhaa?
nimepata toto la kitanga basi limenifungia ndani" nguo zangu zote kaziloweka kwenye majiUlikua wapi chaumbea wewwe
Tupo machoHitamae mmelala...