snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 18,065
- 24,559
Dooooohmimi nkitoa hilo wezere napokea pm wanataka lirudi linawahamasisha kusoma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dooooohmimi nkitoa hilo wezere napokea pm wanataka lirudi linawahamasisha kusoma
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] poleee Shunie hao wanaume surualiHapo kwenye kuwajua watu hapo yaani hapo hapo yamenikuta mm mtu unakutana nae jukwaani anakwambia shunie nakujua ww khee umenijuaje kumbe kuna pugi anasambaza picha zangu
We kaka endelea tu kusambaza picha zangu sawa eenh hivi unalipwa kwa mfano ukisambaza picha za mtu haya unanisambazia picha zangu ndio kwanza wananisifia hawanipondi kama ulitaka waniponde imekula kwako na uendelee vizuri kusambaza picha zangu mfyuuuuuu zako
Nitarudi
Hapo kwenye kuwajua watu hapo yaani hapo hapo yamenikuta mm mtu unakutana nae jukwaani anakwambia shunie nakujua ww khee umenijuaje kumbe kuna pugi anasambaza picha zangu
We kaka endelea tu kusambaza picha zangu sawa eenh hivi unalipwa kwa mfano ukisambaza picha za mtu haya unanisambazia picha zangu ndio kwanza wananisifia hawanipondi kama ulitaka waniponde imekula kwako na uendelee vizuri kusambaza picha zangu mfyuuuuuu zako
Nitarudi
Kuna majanume yana approach 50 uana tabia mbayaaa kuzid bwana pepsi!Huyo ni mvulana, siyo mwanaume
Kuna majanume yana approach 50 uana tabia mbayaaa kuzid bwana pepsi!
Kumbe mtoto morito eehHapo kwenye kuwajua watu hapo yaani hapo hapo yamenikuta mm mtu unakutana nae jukwaani anakwambia shunie nakujua ww khee umenijuaje kumbe kuna pugi anasambaza picha zangu
We kaka endelea tu kusambaza picha zangu sawa eenh hivi unalipwa kwa mfano ukisambaza picha za mtu haya unanisambazia picha zangu ndio kwanza wananisifia hawanipondi kama ulitaka waniponde imekula kwako na uendelee vizuri kusambaza picha zangu mfyuuuuuu zako
Nitarudi
wengi wana stress hasa hawa wanaoshinda jf na kufungua nyuzi kila saaInferior ina wasumbua wanawake wa JF
Kwanza kabisa, namuomba radhi RaynaveroMtu kutoa mawazo yake ni akili ya hovyo mkuu? Wote tungekua smart darasani kusingekua na wa mwisho. Hata saa mbovu kuna muda inasoma sahihi. Usimdharau mtu kwa jambo unaloona kwako halikuhusu. Kwa akili ya Mtoa mada hawezi kutoa kitu kwa kutunga tu au kujisikia lazima anajua kuna kitu kama hicho kipo na kimemkuta kama sio yeye mtu wa karibu. Tujifunze kuheshimu mawazo ya mwingine hata kama tunapingana nayo.
Hasa mtu kama wewe unaeniweka kwenye ignore list unafikiri ninachakujutia?Ungejuaga usingekuwa unaquote post zangu hujui tu acha nikupe taarifa upo kwenye ignore list yangu usijisumbue kuniquote
Kama ni promo acha nivutie wateja wangu wewe inakuhusu nini wanaume kama nyie tunawaita mapugi byee
Hey ray,Ahsante kaka barikiwa sana ila nikuambie kitu!don't judge a book by it's cover...!!
Uzuri wa mkakasi katikati kipande cha mti! Na sio kila mwandishi wa kitabu anaandika yaliyomkuta ni fasihi tu!!!
Usihukumu usilolijua na pia ungejua [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji1] [emoji2] [emoji2] [emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23] usingesemaa!!!huna ulijualo
Chuki zako kwangu Mimi zitakuumiza buree!!!
Humu ndani huwezi mjua mdada wa hovyo wala mtakatifu kwa kupitia mwandiko
Huu ni msitu ndugu!huyo unaemuona wa hovyo ukute hajawahi hata kufunuliwa humu ndani halafu huyo unaemuona wa maana ndo chakula ya wote.
So please kaa kimya soma mchezo!!!
Hey ray,
Kwanza nilitaka kuja huko PM, lkn nilivyokumbuka unapata tabu sana na pm za wanaume imenibidi niandike hapahapa.
Na kwakua nili comment mbele ya hadhara hii, basi ni muhimu pia niandikacho hapa kionekane mbele ya hadhara.
Pili, napenda kuomba radhi kwa comment yangu, nilikujumuisha pasipo kukusudia nikijua uliyo eleza yanafanana na wahuni walio comments mbeleni.
Katika majibu ya wahuni hao walionesha dharau, matusi na kejeli kwa wanaume wenye tabia ambazo wewe hujapendezwa nazo.
Mimi sioni tatizo la wao kuwadharau, tatizo naliona kwao.
Wewe unampaje mtu mawasiliano yako hujazijua tabia zake? Tabia za mtu humu JF kwa kusoma comments zake tu waweza mjua huyu ni wa aina gani though not 100%.
Kwahiyo kama umepata tatizo na tatizo umelisababisha wewe, ni vema ukakubali wewe ni tatizo kwanza.
Tatu, mimi sina chuki na yeyote humu. Kwasababu siichukulii JF serious sana. Ndio maana naweza tibuana na mtu leo lkn kesho tukabonga freshi tu. Na sijui ni wapi nilionesha chuki kwako, km ilitokea si kwamba ni chuki bali ni sehemu ya mijadala tu. Kujenga chuki na nisiye mfahamu, mtu asiyekuwa na impact kwangu ni kujilundikia stress ambazo zitakuwa tatizo kwangu.
Mimi navyo koment mpk siku tukwaruzane ndo naweza kukukariri,lkn km haijawaahi tokea hivyo ninaweza kujibu au koment kwenye mada ya mtu na nisikumbuke alieileta mada ni nani. Najenga chuki na umasikini sio memba wa JF.
Mwisho namalizia kwamba, hapa JF hata mtu akikutukana na umeudhika kweli, we mpe like afu sepa. Kama huna kifua cha kuvumilia, mweke kwenye ignore list afu uwe una mpotezea. Kama ni muungwana zaidi mtafite pm umweleze kiungwana hujapenda hivyo. Mtakuwa marafiki sana.Do not take JF serious, kuna watu wa kila aina humu
Yote ya yote, niwie radhi!!
(Ila una mkwara? Sijawahi mjibu mtu kwa unyenyekevu hivi)
Kazi njema.
Una busara sana nakutumia picha zangu zifanye unavyotakaMtu kutoa mawazo yake ni akili ya hovyo mkuu? Wote tungekua smart darasani kusingekua na wa mwisho. Hata saa mbovu kuna muda inasoma sahihi. Usimdharau mtu kwa jambo unaloona kwako halikuhusu. Kwa akili ya Mtoa mada hawezi kutoa kitu kwa kutunga tu au kujisikia lazima anajua kuna kitu kama hicho kipo na kimemkuta kama sio yeye mtu wa karibu. Tujifunze kuheshimu mawazo ya mwingine hata kama tunapingana nayo.
Stori ndefu fupi.Ahsante kaka barikiwa sana ila nikuambie kitu!don't judge a book by it's cover...!!
Uzuri wa mkakasi katikati kipande cha mti! Na sio kila mwandishi wa kitabu anaandika yaliyomkuta ni fasihi tu!!!
Usihukumu usilolijua na pia ungejua [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji1] [emoji2] [emoji2] [emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23] usingesemaa!!!huna ulijualo
Chuki zako kwangu Mimi zitakuumiza buree!!!
Humu ndani huwezi mjua mdada wa hovyo wala mtakatifu kwa kupitia mwandiko
Huu ni msitu ndugu!huyo unaemuona wa hovyo ukute hajawahi hata kufunuliwa humu ndani halafu huyo unaemuona wa maana ndo chakula ya wote.
So please kaa kimya soma mchezo!!!
Hahaaa!endeleeni kuona waropokaji ndo wahuni halafu wapole ndo watakatifu tuu!mngejuaaaStori ndefu fupi.
Nani anatembea na ulemavu wa kutofunuliwa mpaka leo na hajawatafuta hearly, Wick, msafwa93 au Ambiele Kiviele kwa ajili ya tiba?
Na nani anaachia sana?
Nijibie pm tafadhali.
Hhaahaaaaa!!kaka usijali Mimi sina kinyongo yameisha one luv!Hey ray,
Kwanza nilitaka kuja huko PM, lkn nilivyokumbuka unapata tabu sana na pm za wanaume imenibidi niandike hapahapa.
Na kwakua nili comment mbele ya hadhara hii, basi ni muhimu pia niandikacho hapa kionekane mbele ya hadhara.
Pili, napenda kuomba radhi kwa comment yangu, nilikujumuisha pasipo kukusudia nikijua uliyo eleza yanafanana na wahuni walio comments mbeleni.
Katika majibu ya wahuni hao walionesha dharau, matusi na kejeli kwa wanaume wenye tabia ambazo wewe hujapendezwa nazo.
Mimi sioni tatizo la wao kuwadharau, tatizo naliona kwao.
Wewe unampaje mtu mawasiliano yako hujazijua tabia zake? Tabia za mtu humu JF kwa kusoma comments zake tu waweza mjua huyu ni wa aina gani though not 100%.
Kwahiyo kama umepata tatizo na tatizo umelisababisha wewe, ni vema ukakubali wewe ni tatizo kwanza.
Tatu, mimi sina chuki na yeyote humu. Kwasababu siichukulii JF serious sana. Ndio maana naweza tibuana na mtu leo lkn kesho tukabonga freshi tu. Na sijui ni wapi nilionesha chuki kwako, km ilitokea si kwamba ni chuki bali ni sehemu ya mijadala tu. Kujenga chuki na nisiye mfahamu, mtu asiyekuwa na impact kwangu ni kujilundikia stress ambazo zitakuwa tatizo kwangu.
Mimi navyo koment mpk siku tukwaruzane ndo naweza kukukariri,lkn km haijawaahi tokea hivyo ninaweza kujibu au koment kwenye mada ya mtu na nisikumbuke alieileta mada ni nani. Najenga chuki na umasikini sio memba wa JF.
Mwisho namalizia kwamba, hapa JF hata mtu akikutukana na umeudhika kweli, we mpe like afu sepa. Kama huna kifua cha kuvumilia, mweke kwenye ignore list afu uwe una mpotezea. Kama ni muungwana zaidi mtafite pm umweleze kiungwana hujapenda hivyo. Mtakuwa marafiki sana.Do not take JF serious, kuna watu wa kila aina humu
Yote ya yote, niwie radhi!!
(Ila una mkwara? Sijawahi mjibu mtu kwa unyenyekevu hivi)
Kazi njema.
Tangia nikuone jf nakupigia sana misele na pm zangu hujibu. Kumbe muoga.Eeeh Mungu nisaidie nisi comment kwenye huu uzi .
Ila ngoja kwanza .
Mimi nikiona mtu kani pm siku hizi nakemea kabisa.