Wanaume wa JamiiForums nawajibu kwa nini tunawafungia PM na wengine hatuwajibu

Amu acha tu ni ushamba uliopitiliza yaan atajifanya kuja kiheshima akuzoee ili akuone unafananaje aanza kuonyesha picha zako na anaowanyesha nao hawana siri masikini
Shunie kuna mijitu mishamba kweli kweli mitindiga sijui ya wapi asa akionekana anawajua watu inasaidia nini kwa mfano,ushamba wa kiwango cha lami
 
Aisee pole sana
 
Ha Ha Ha ha eti bwana Pepsi pole sana mkuu

Cha muhimu ni kuwa makini tu na wale unaowasiliana nao maana hatufanani tabia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…