Wanaume wa JF hamcheleweshi, mnatongoza hovyo kila mnayemwona!

Wanaume wa JF hamcheleweshi, mnatongoza hovyo kila mnayemwona!

Na usitie maana utaishia kumn'goa meno kama sio chululu
hahahahahah nimefurahia chululuuu

umenikumbusha mbali mkuu

hiyo chululuu siwezi ingoa maana nitabaki nalia kila siku baada ya hasira kuisha

teh teh
 
hahahahahah nimefurahia chululuuu

umenikumbusha mbali mkuu

hiyo chululuu siwezi ingoa maana nitabaki nalia kila siku baada ya hasira kuisha

teh teh
Hilo jina watu wa kanda zingine hawawezi kulijua... hata stun sidhani kama anajua maana yake.
 
naona unampenda sana x jaman shem loooh inapendeza sana
Teh,
Huko nyuma alinambia kitu nikawa simwelewi.

Ndiyo nataka anieleweshe zaidi.
 
Back
Top Bottom