Wanaume wa JF hamcheleweshi, mnatongoza hovyo kila mnayemwona!

Wanaume wa JF hamcheleweshi, mnatongoza hovyo kila mnayemwona!

Eti eeeh!! Hebu nitumie pesa kwakweli.
Nina mpango wa kukukabidhi ATM card yangu na Password lakini tuu uniletee ile chupi yako uliyosema nisiilete hapa nitaitunza mchagoni kwangu
 
Yani mimi swala nipite kwenye zizi la chui ama fisi kwa amani tu? huaminiki wewe unaeza nichenchia.... bora nikipita nisipite na wallet yangu tu
ha ha ahha usiogope bwana nitakuonja tu upo salama
 
Umeshautafuta ukweli au ndio upo kwenye upelelezi? manake hiyo ishu imevuma kinyama
Haha, ilikuaje maana siku hizi sipati muda wa kuzunguka kote...
 
Back
Top Bottom