Wanaume wa JF mnajishushia CV zenu kwa wadada. Kuweni real, acheni fake life

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Acha hizo kuna mmoja nmeshachat nae pm ana sifa hzo hzo kwa mbali ingawa anaficha makucha ila kwa uzi huu sina budi kumhis ni yeye
 
Huyo Jamaa wa arusha ulomsema mi namjua sana ana fix Hugo.aliniambia nimtumie account ya dola.daah nikamuambia me sitaki hela yako bna.
Tukakaa akajisahau akaniambia anaomba nimkopeshe elfu 50 nikamuambia anitumie account ya euro.
😂😂😂😂😂
Haki miss umenishida tabia, eti account ya euro, nimechekaa!!!
 
Kwa hii nimefungua kodi kirahisi kabisa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wii Madame B kama ni huyu anayemsema Hornet nishamjua [emoji1][emoji1]
Afi alikuwa analazimisha kiki kwa pikipiki.
Ila jamaa inaonekana ndo zake...maana nilikutana nae Fb akanipa namba zake na basa ya kuchunguza nikagundua ni yeye mtupu.
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji187][emoji187][emoji187]na wewe bado unamsubiria labda[emoji932][emoji932][emoji932][emoji932][emoji932]
Ulijuaje, yaani hapa namsubiria arudi na pesa tu maana sio kwa kunisubirisha huko
 
Afi alikuwa analazimisha kiki kwa pikipiki.
Ila jamaa inaonekana ndo zake...maana nilikutana nae Fb akanipa namba zake na basa ya kuchunguza nikagundua ni yeye mtupu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…