Wanaume wa JF mnajishushia CV zenu kwa wadada. Kuweni real, acheni fake life

Wanaume wa JF mnajishushia CV zenu kwa wadada. Kuweni real, acheni fake life

Sema hao wachache unaokutana nao ukisema wanaume una tu include na sisi tusiohusika
 
Kwanza kwa niaba ya wanaume wa JF tunashukuru kwa kuyaeleza haya yote!

Pili utuombe radhi kwa kutujumuisha na hao matapeli ulokutana nao

Tatu sio kila alieko JF anatafuta mahusiano ya kimapenzi na kingono awe me au ke

Mwisho mtu ametumia fake Id unawezaje kukurupuka na kuamini kila anachokuambia kuhusu yeye? Hapo wote mna matatizo yeye na ww pia!

Mahusiano ya kukutana mitandaoni sio ya kuamini sana but pia kuna watu wamekutana humu humu JF na wako vizuri mpka leo
Yan mkuu umeongea jambo nililotaka kulisema kabisa naamini kabisa humu unaweza ukafahamiana na mtu na mkawa marafiki wazuri na kuwa kama ndugu kabisa na si kila mtu humu ni tapeli kama inavyoonekana mimi pia siamini katika kutafuta mahusiano humu ila naamini marafiki wa kweli wanapatikana humu pia
 
Hafu humu JF kila mwanaume ni handsome wakianza kuponda wanawake sasa, kumbe wamechoka na maisha hawana mbele wala nyuma, bora mie cariha wa kawaida nadanga zangu siwezi kupauka kiasi hicho. Mimi ndo mana kukutana na mwana jf naona ugumu mno
Kutana na mimi hutojutiaaa
 
Ngoja niendelee na maombi huenda nami nikapata fursa ya kukuona cku moja
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mie sina hata hamu na wanaume wa humu.
Nimekutana na mkaka akasema anamiliki kampuni...hahahhah
Chinekeeee.

Bora hata mie ninayemiliki makalio.
Yule kaka sijui kaniblock, simuoni kabisa jukwaani.
 
Ndio nimeanza kulima mpunga,nisikilizie mwakani nikivuna tu,nanunua na kagari,halafu nitakutafuta DaJane tuyajenge
 
Huyo Jamaa wa arusha ulomsema mi namjua sana ana fix Hugo.aliniambia nimtumie account ya dola.daah nikamuambia me sitaki hela yako bna.
Tukakaa akajisahau akaniambia anaomba nimkopeshe elfu 50 nikamuambia anitumie account ya euro.
Hahahahah
Ushamjua eeee.
Yaani anapiga picha ofisini afu anakutumia.
Hahahaha, milioni na laki 9 masikhara
 
Back
Top Bottom