sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 19,955
- 45,207
Sijawahi kuona sababu ya kumwambia mtu ukweli. Hususani na hizi fake id.
Siku zote namwambia mtu kitu kile anachotaka kusikia.
Mtoa mada unapata hedek kabisaa et kisa mtu anakudanganya et ana gari ?? Ana kampuni kadhaa? Mtu wa jf. Mtu mwenye fake id.
Nawewe unapoteza muda kabisaa kufutilia huyu ana hichi huyu ana hichi. Really??
Siku zote namwambia mtu kitu kile anachotaka kusikia.
Mtoa mada unapata hedek kabisaa et kisa mtu anakudanganya et ana gari ?? Ana kampuni kadhaa? Mtu wa jf. Mtu mwenye fake id.
Nawewe unapoteza muda kabisaa kufutilia huyu ana hichi huyu ana hichi. Really??