RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Forex is not for everyone! Huo msemo tumewekewa sisi vichwa majiHahahaha ,
Umeanza Ku trade lkn
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Forex is not for everyone! Huo msemo tumewekewa sisi vichwa majiHahahaha ,
Umeanza Ku trade lkn
Usije mjini boss...huku sinema tu kila mtu msanii!Hahahaha
Boss we acha tu,humu kuna furahisha Sana, nyie huko mjini mnapata raha Sana asee
Forex is not for everyone! Huo msemo tumewekewa sisi vichwa maji
Usije mjini boss...huku sinema tu kila mtu msanii!
Kwa mtaji huu hata kubeba bunduki itabidi au tuzamie porini aka machimboniHahahaha
Sasa Mkuu, tutapataje mahela ili tuepuke hizi shutuma bin lawama za humu?
Maana inabidi tuwe na gari Kali,nyumba Kali mahela ya kutosha ,ukiita totoz humu JF ,anakuja kula raha tu
Kwa mtaji huu hata kubeba bunduki itabidi au tuzamie porini aka machimboni
Afadhali ubaki huko hukoHahahaha
Kwa kweli huko siji acha nibaki tu porini huku
Inabidi ufumbe macho ka unasali Baba yetu uliye mbinguniYes huwa wanajali sana watoto wao kwa hilo nawapongeza sijawahi sikia mchaga kakataa mtoto!!
Ha ha ha umenifundisha na mimi nitakodoa macho kama yotee ili aje copy yangu
DuhInabidi ufumbe macho ka unasali Baba yetu uliye mbinguni
Mangi naona umefurahi..hongera kwa kumkalisha City.Uko wapi nikutunuku chupa moja wa wine hahahaha
Kuna mtu alikuanzishia thread? No wonder you react the way you do.
Hahahaha nishakwambia mie wa Rombo unamtafuta mwingine wa nini? ?ila uhandsome kwa kweli umenipitia kushoto naishia kuuona kwa majirani tu usidanganyike weusi wapo wa kumwaga mithili ya kiwi
Mie ndio namjua mpaka sura.We unakidhi vigezo vya mwanaume kutumia 1.9M kwako?
Pengine ungejiuliza na hilo swali, usije mlaumu bure mwezio
Afadhali ubaki huko huko
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] huu ni ukweli Mana nmekutana nao kadhaa humu, kwa kweli ngoja nizibe mdoma nisilopokeSisi wengine shule ya saikolojia ipo kichwan imetulia.
Kuelewa kile anachokizungumza mtu na kile alicholenga kukusudia hata kama amekisema kwa kukifunika.
Sasa unapolipata ilo , unasubiri kufanya Experimental study ili kupata jibu Konki konki.
Kwaufupi Mademu wenye ID maarufu humu JF ni WABOVU . sio Umbo....sio makalio..sio sura.
Ndio sababu hamjiamin kiasi kwamba. mmetupa kazi ya kuwasifia "You look.beautiful" ...wakat hustahili .
Mjini kuna njaa na maneno tuHahahaha kwa style hii huko mjini kwenu siji ,na nikija naishia ndani tu ya nyumba
HahahahaMjini kuna njaa na maneno tu
Acheni kujifariji na uchoko wenu eti I'd maarufu ni wabovu nyie kubalini hamna mbele wala nyuma tu kama namikiki tecno wereva yangu hapa najiamini na ubovu wangu. Hahaha huu uzi umewatoa povu wanaume pole ni pambaneni na Hali yenu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] huu ni ukweli Mana nmekutana nao kadhaa humu, kwa kweli ngoja nizibe mdoma nisilopoke
Mie ndio namjua mpaka sura.
Mie hajawahi niona hata kidogo.
Acheni utapeli.
Ishini maisha yenu halisi.
Mbona wapo wasiofake life?