Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,486
- 51,156
Huyo Jamaa wa arusha ulomsema mi namjua sana ana fix Hugo.aliniambia nimtumie account ya dola.daah nikamuambia me sitaki hela yako bna.
Tukakaa akajisahau akaniambia anaomba nimkopeshe elfu 50 nikamuambia anitumie account ya euro.
Siyo Yule aliyekua anasambaza picha ya mtu kwa maboya wenzake?