Wanaume wa JF muwe mnatuma nauli mkitaka kuonana na warembo mwenzenu kanitia hasara!

Embu weka hapa na sisi wa vijijini tumuone Demiss la sivyo ntaendelea kuamini ni DUME.
 
Hapo sasa. Kuna mashoga bila wafanyaji?
Eti malaya kisa ulimnunua. Watu wanapenda kujisafisha huku wakichafua wengine.
 
Sio lazima uchangie upuuzi huu unaochangia humu ni uzi wa kilimo na wakulima? Lijijini umeenda lini wakati umesema wewe ni mfanyakazi mwenzie demiss. Nawe acha kununua uone kama hao wamaojiuza wataendelea kuuza.
Umemdaka vizuri [emoji23]
 
Kwanini unaandika na kufuta? Nascreen kila kitu.
Mpaka hapa umeshajidhihirisha ulivyo mwongo na ndiyo maana unaandika comment na kufuta.
Uzi umeuona sasa hivi? Haujamchamba demiss wewe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…