Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanunuaji wanazifurahia mada Kama hizi, Ni vyema ungestick kwenye mada za kujifunza, hizi za kujiuza uwe unazipita am sure hutapata taabu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanunuaji wanazifurahia mada Kama hizi, Ni vyema ungestick kwenye mada za kujifunza, hizi za kujiuza uwe unazipita am sure hutapata taabu
Embu weka hapa na sisi wa vijijini tumuone Demiss la sivyo ntaendelea kuamini ni DUME.Kuna jamaa mmoja alinifuata pm Jana baada ya kuandika reply yangu kwenye huu Uzi kuhusu dada uliyoquote anasema walionana na huyu dada alipoenda dodoma mapumziko, ilikuwa wagegedane baada ya kufika anasema demu alikuwa kawaida sana mnene kiasi, shepu haiweleki na mweupe kiasi na hakumvutia kabisa,ikabidi aagize savvanah then akamuaga anaondoka kuendelea na ratiba..anasema hakumvutia kabisa, akanitumia picha zake na namba zake za simu anazotumia na akanipa majina yake anayotumia kwenye mitandao ya kijamii, fb na inst......nakubaliana na unachosema.
Kama ataridhia niziweke hapa hadaharani
Mm tangu Jana nilipoona hii thread nilijua tu huyu atakuwa danga
Huo ujanja wako uko wapi?Lazma tuwarekebishe sio mnakuja kuleta ujinga humu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]na Mimi siwezi kutoa tsh 20000 kwa demu wa humu
We umeambukizwa na wangapi?Hebu weka uthibitisho hata screenshot shot kwamba ulitongozwa na mm....acheni kuambukiza watu ukimwi.
Wapuuzi puuzi tu matangazo yenu
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]Namtaka aje, japo nimechelewa kuuona Uzi Kama ni mm kweli?
Hapo sasa. Kuna mashoga bila wafanyaji?Biashara inapofanyika lazima kuna mnunuzi na muuzaji, ili biashara ife ni lazima ikose mnunuzi.
Kwahiyo waache unafiki wa kujiona wao wanunuzi wana wema na ni wasafi sana isipokuwa wauzaji ndio wakosaji. Wote wachafu tu.
Ndio maana huwa nawaambia hawa wanaojifanya malaika Gabriel kuponda ushoga wakati wao ndio wanaowatumia hao mashoga waache unafiki.
Shubaamiti zao, umalaya wafanye wote alafu kuchafua wamchafue mmoja!!!
Jamani mimi nina kazi ya kufanya, huu uzi unanilostishaWe umeambukizwa na wangapi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Acha kutuzuga wewe.
Unatuuliza sisi yupojee? Acha unafikiii mtumiee kapesa chake.View attachment 1079098
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wala mimi sidaani ane na hapo ilikuwa just charting hebu aje athibitishe Kama ni Mimi? Muiteni aje.....,
Umemdaka vizuri [emoji23]Sio lazima uchangie upuuzi huu unaochangia humu ni uzi wa kilimo na wakulima? Lijijini umeenda lini wakati umesema wewe ni mfanyakazi mwenzie demiss. Nawe acha kununua uone kama hao wamaojiuza wataendelea kuuza.
Tuna hela ya watu. Si umesema anajiuza kwenye yale mafekero yako?Ni kweli nimeifuta maana Sio mtu wa malumbano huku, namsubiri aje aseme mwenyewe...maana huusiki na hujui chochote, kukusaidia wewe muite aje aseme yaye
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Embu weka hapa na sisi wa vijijini tumuone Demiss la sivyo ntaendelea kuamini ni DUME.
Sawa rudisha yale mafekero tuendelee nayo.mchana mwema