Wanaume wa JF muwe mnatuma nauli mkitaka kuonana na warembo mwenzenu kanitia hasara!

Wanaume wa JF muwe mnatuma nauli mkitaka kuonana na warembo mwenzenu kanitia hasara!

Kuna jamaa mmoja alinifuata pm Jana baada ya kuandika reply yangu kwenye huu Uzi kuhusu dada uliyoquote anasema walionana na huyu dada alipoenda dodoma mapumziko, ilikuwa wagegedane baada ya kufika anasema demu alikuwa kawaida sana mnene kiasi, shepu haiweleki na mweupe kiasi na hakumvutia kabisa,ikabidi aagize savvanah then akamuaga anaondoka kuendelea na ratiba..anasema hakumvutia kabisa, akanitumia picha zake na namba zake za simu anazotumia na akanipa majina yake anayotumia kwenye mitandao ya kijamii, fb na inst......nakubaliana na unachosema.
Kama ataridhia niziweke hapa hadaharani

Mm tangu Jana nilipoona hii thread nilijua tu huyu atakuwa danga
Embu weka hapa na sisi wa vijijini tumuone Demiss la sivyo ntaendelea kuamini ni DUME.
 
Biashara inapofanyika lazima kuna mnunuzi na muuzaji, ili biashara ife ni lazima ikose mnunuzi.
Kwahiyo waache unafiki wa kujiona wao wanunuzi wana wema na ni wasafi sana isipokuwa wauzaji ndio wakosaji. Wote wachafu tu.

Ndio maana huwa nawaambia hawa wanaojifanya malaika Gabriel kuponda ushoga wakati wao ndio wanaowatumia hao mashoga waache unafiki.
Shubaamiti zao, umalaya wafanye wote alafu kuchafua wamchafue mmoja!!!
Hapo sasa. Kuna mashoga bila wafanyaji?
Eti malaya kisa ulimnunua. Watu wanapenda kujisafisha huku wakichafua wengine.
 
Wewe Witmak255 kwanini hii comment umeifuta?
Ilikuwa comment namba 562.
Unatishia kunya mara ukajishtukia ukaamua ufute eti?
IMG_20190423_150753_254.jpg
 
Sio lazima uchangie upuuzi huu unaochangia humu ni uzi wa kilimo na wakulima? Lijijini umeenda lini wakati umesema wewe ni mfanyakazi mwenzie demiss. Nawe acha kununua uone kama hao wamaojiuza wataendelea kuuza.
Umemdaka vizuri [emoji23]
 
Kwanini unaandika na kufuta? Nascreen kila kitu.
Mpaka hapa umeshajidhihirisha ulivyo mwongo na ndiyo maana unaandika comment na kufuta.
Uzi umeuona sasa hivi? Haujamchamba demiss wewe?
IMG_20190423_151147_209.jpg
 
Back
Top Bottom