Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
dark angel na espy nawapenda nyie wadada[emoji7][emoji7][emoji7]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Khaa yaani wamezoea kutupanda kichwani hawa wapuuzi.Yaani leo wamenichekesha hawa viumbe jamaa wakapoa kwanza maana walimtaiti Demiss [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu hiyo umeongeza wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mimi nimekumbusha msemo wa wahenga[emoji23][emoji23]Chajitembeza Dodoma yote?[emoji30][emoji30][emoji30]
Leo ndio nimeamini kuna watu wanachukulia mada serious😀😀😀😀wamepotea hongera kwa makamanda wamewaziba vikono vyao wametuliza simu pembeni.Khaa yaani wamezoea kutupanda kichwani hawa wapuuzi.
Nani huyo anaongelewa? na kafanya nini?Nimesoma mpaka nimemaliza.
Uzi ulinoga ila kwanini sasa mumuexpose wakati mmemshobokea wenyewe jamani?
Kwani akijisikia au kujishaua mtu anateseka na nini?
Sio vizuri tuonane huku halafu tuje kuexpose Identity za wengine sio poa kabisa.
Sema rafiki yangu nae nimemuona itabidi nimuulize vizuri na yeye yalimsibu yapi kwa Demiss maana kaandika kama alitendwa hivii
Sijui Demiss kamuongelea nani mkuu mi naongelea wanaomtishia Demiss watamuexposeNani huyo anaongelewa? na kafanya nini?
Sijui Demiss kamuongelea nani mkuu mi naongelea wanaomtishia Demiss watamuexpose
Ndo hivyo mkuuDaaah! Kumbe mambo yametindinganya. Mimi niliishia post za mwanzo mwanzo maana nilikuwa sielewi
Utoto unawasumbua. Mambo ya pm + kufahamiana individually yanatakiwa kuishia huko huko.Sijui Demiss kamuongelea nani mkuu mi naongelea wanaomtishia Demiss watamuexpose
Wanataka kuzibia wengine kujuana kwa kuogopa wataanikwaUtoto unawasumbua. Mambo ya pm + kufahamiana individually yanatakiwa kuishia huko huko.
Si ndio hapo bwana.Wanataka kuzibia wengine kujuana kwa kuogopa wataanikwa
Kama mimi nilivyo ma shauku yaniSi ndio hapo bwana.
Hawajuhi kwamba mimi mwenyewe nina shauku sana ya kufahamiana na babe wewe[emoji23]
Halafu anatokea mtu ana expose privacy za watu. Hawa ndio wanatakiwa kutumbuliwa na JPM in real life and in social networksKama mimi nilivyo ma shauku yani
Ndo hivyo mkuu
Huyo anakaa hombolo, karibu kisasaDemiss pole shoga yangu, nina safari ya Dom next week naomba unihifadhi kwako
Ahsante mangiHuyo anakaa hombolo, karibu kisasa
Haya twende kazi, weka detailKuna mtu anajiquote mwenyewe humu[emoji23][emoji23]hatari sana[emoji23][emoji23]anatumia ID tatu ndani ya uzi huu huu mmoja[emoji57][emoji57]
Na bila shaka yeye ndie mlengwa kwenye hii thread. Anatumia uongo wake wa darasa la saba,.mara ooh naishi nje, mara nina pesa[emoji16][emoji28]kumbe likapukuu la kufa mtu!
Sasa bisha na hapa[emoji41](unajijua)
Nasema hivi....bisha na saivi nikuumbue[emoji57][emoji57][emoji57]
File lako loading...Khaa yaani wamezoea kutupanda kichwani hawa wapuuzi.