Wanaume wa JF muwe mnatuma nauli mkitaka kuonana na warembo mwenzenu kanitia hasara!

Wanaume wa JF muwe mnatuma nauli mkitaka kuonana na warembo mwenzenu kanitia hasara!

Nimesoma mpaka nimemaliza.

Uzi ulinoga ila kwanini sasa mumuexpose wakati mmemshobokea wenyewe jamani?
Kwani akijisikia au kujishaua mtu anateseka na nini?

Sio vizuri tuonane huku halafu tuje kuexpose Identity za wengine sio poa kabisa.
Sema rafiki yangu nae nimemuona itabidi nimuulize vizuri na yeye yalimsibu yapi kwa Demiss maana kaandika kama alitendwa hivii
 
Nimesoma mpaka nimemaliza.

Uzi ulinoga ila kwanini sasa mumuexpose wakati mmemshobokea wenyewe jamani?
Kwani akijisikia au kujishaua mtu anateseka na nini?

Sio vizuri tuonane huku halafu tuje kuexpose Identity za wengine sio poa kabisa.
Sema rafiki yangu nae nimemuona itabidi nimuulize vizuri na yeye yalimsibu yapi kwa Demiss maana kaandika kama alitendwa hivii
Nani huyo anaongelewa? na kafanya nini?
 
Kuna mtu anajiquote mwenyewe humu[emoji23][emoji23]hatari sana[emoji23][emoji23]anatumia ID tatu ndani ya uzi huu huu mmoja[emoji57][emoji57]
Na bila shaka yeye ndie mlengwa kwenye hii thread. Anatumia uongo wake wa darasa la saba,.mara ooh naishi nje, mara nina pesa[emoji16][emoji28]kumbe likapukuu la kufa mtu!

Sasa bisha na hapa[emoji41](unajijua)
Nasema hivi....bisha na saivi nikuumbue[emoji57][emoji57][emoji57]
Haya twende kazi, weka detail
 
Back
Top Bottom