Said Cosmetics
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 2,001
- 1,591
tafadhali mkuu dada angu demiss sio cheche bali alikuwa anapigania fursaDemis nilikuwa niko radhi kuja hadi dom ila una dalili zote za kuwa cheche!
Najivua gamba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tafadhali mkuu dada angu demiss sio cheche bali alikuwa anapigania fursaDemis nilikuwa niko radhi kuja hadi dom ila una dalili zote za kuwa cheche!
Najivua gamba
Amekulia shilingi ngapi? Maana una hasiraaa.Mkuu, Huwezi amini ndio huyu anaejitapa hapa analia wanaume pesa zao, kakamata wagogo wa porini huko anawafanyia ushenzi anajikuta mjanja...
Alete upuuzi wake hapa mjini kama hatotatuliwa marinda plus tumpasue kichwa kwa shaba ndio atajua mjini kuna wahuni...
Kwa kuwa amekiri huko juu hii ni chitchat nitamsitahi kwa leo, ila aache kupost upuuzi wake, anakera na mada zake za hovyohovyo...
Wapuuzi hawa kujitia wanajua sana sijui kawaibia mume, kama wao wasafi uzi wa mchafu wamefuata nini?Jamani mtu kama huwezi kuwa chit chat nenda jukwaa la siasa,international,intelligence huku achana napo,sasa mnataka haya majukwaa yaandikwe habari za k7na mbowe au magu jamen,acheni hizo heko kwa Dark angel na espy pia meeya mmenifurahisha sanaa
Demiss atabaki kuwa juuu kileleni mawinguniii chiiiiiiiiii
Lamba loloooooo
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Kuna mtu anajiquote mwenyewe humu[emoji23][emoji23]hatari sana[emoji23][emoji23]anatumia ID tatu ndani ya uzi huu huu mmoja[emoji57][emoji57]
Na bila shaka yeye ndie mlengwa kwenye hii thread. Anatumia uongo wake wa darasa la saba,.mara ooh naishi nje, mara nina pesa[emoji16][emoji28]kumbe likapukuu la kufa mtu!
Sasa bisha na hapa[emoji41](unajijua)
Nasema hivi....bisha na saivi nikuumbue[emoji57][emoji57][emoji57]
Yeye ndio mhusika.Mimi nimegundua yeye ni muhanga na kama anajiamini kwa nini asije na Id yake ya siku zote? Idiot
Grow up.Tatizo si hilo Demiss ID zenu fake zinatuchanya hata mimi nilishamkimbia mmoja alipost picha kumbe ya kudownload mi nikampa fomu ya usajili ila machale yakanicheza wakati wa apointment nibebana sehemu ananipigia naona dude tofauti kifuani mtindo wa kufa nadhani bra ina mkanda wa ngozi tumbo limekatwa pingili na linaning'inia vitako kama konzi, mwenyewe anawig kwa kuwa nilimpa mshikaji simu ampigie mi nikawa hapo namcheki mdada ana ndefu.
Inawezekana Demiss HAULIPI. Kwanini asisepe?
[emoji23][emoji23][emoji23]Hahaha samahani kama nafukua makaburi, kuna komenti zinanikosha nashindwa kujizuia
Upuuzi tu.Nimesoma mpaka nimemaliza.
Uzi ulinoga ila kwanini sasa mumuexpose wakati mmemshobokea wenyewe jamani?
Kwani akijisikia au kujishaua mtu anateseka na nini?
Sio vizuri tuonane huku halafu tuje kuexpose Identity za wengine sio poa kabisa.
Sema rafiki yangu nae nimemuona itabidi nimuulize vizuri na yeye yalimsibu yapi kwa Demiss maana kaandika kama alitendwa hivii
Haya twende kazi, weka detail
Hivi unachotarajia kuachive ni nini haswa?File lako loading...
Hakuna mwanaume mpuuzi hivyo, huyo ni mvulana.Kwani imekuaje best??
Au ndio kikao cha wanaume wa JF mmeamua muanze kutuexpose dada zenu?
Na limemuuma kweli, kama hausiki kilichomuuma hivyo ni nini? Ajikaze tu.Kuna kiumbe toka jana ameshupasa shingo kwenye hii mada,nahisi jiwe limempata kwenye naniii si bure
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hicho kikao walicho kaa wanaume wa Jf ku expose mademu wa humu jf hakinihusu..
Hawa wapuuzi wachache ndio wanaishusha heshima ya jf, kwanini wanapojuana hawatushirikishi wakishatindiganyana hukooo ndio wajifanye kuja kudhalilishana humu[emoji134][emoji134][emoji134][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Basi waambieni wenzenu hata kama anajua tako la mtu akae kimya.
Ashukuru tu kati ya wengi humu na yeye kawa mmoja kumjua mtu.
Mtu akiamua umjue amekuheshimu sasa kwanini umfanye mtu ajutie maamuzi yake ya kukupa heshima?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Siku ya kutaka kumjua mtu wa humu kazi anayo maana nitarekodi hadi mkojo wake siku akinizingua kazi anayo ni mwendo wa mavideo tu humu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ila kuna kitu itakua Demiss anawafanyia hawa watu. Yani mtu kujishaua tu ndio wawe na hasira nae hivi mpaka kumtishia kumuexpose? Au anawalia hela zao mchezo hatoi itakua sasa wakiwaza hela zao na mchezo wanyimwe halafu kama wanavyosema wanakutana na mwanamke sie waliemuweka kwenye akili zao lazima hasira ikuye.
Unajiona yani mwanamke alivyokuchezea akili na hela ukampa
Yani mzuri sio kidg. Demis tulia we mzuri sanaHuyu ndiyo Demiss kwa wasio mfahamu.....
![]()
Nakwambia dada nimejipanga we ngoja mtu ajipendekeze 😀😀😀😀😀[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hawachi bwana.
Shoga nakaa hombolo huku utapaweza mama angu mjini tu mpaka ufike nauli elf 20000
Kama vipi karibu kisasa ntakuifadhi unashuka tu martin Luther utanikuta nakusubiri.Aisee ndio unanikataa kijanja eeh