Wanaume wa JF muwe mnatuma nauli mkitaka kuonana na warembo mwenzenu kanitia hasara!

Kuna picha naijenga kuhusu huyu mleta maada inaweza kuwa inaakisi jinsi alivyo kwa asilimia kubwa
1. Yawezekana anajiuza
2. Anaishi kwa kudanga
Haiwezekani mtu utoke hombolo umfate mtu mjini kwa gharama hiyo halafu utegemee urudishiwe, Ina maana moja kwa moja ulitegemea zaidi ya hiyo kwake.
Na kingine mwanamke mwenye staha asingeleta upuuzi huo hapa lazma angeona haya, sisi wanaume tunajuana na nadhani huyo jamaa hakuwa na nia ya kukugegeda kwa vyovyote vile maana unaonekana wewe ni mweupe na mrahisi Sana.
 
Unafanya biashara gani
What serious business you do?
Hiyo pesa umeandika kama consultation fee hebu sema business yako mkuu

We ni disabled mpaka uamini kwamba lazima upewe hela?
 
Sawa tu uliyosema wala sijakataa mm ndiyo mdangaji wewe ndo unajua leo hahahhaha poleee sana
 
Kahaba najiuzaaa
Unafanya biashara gani
What serious business you do?
Hiyo pesa umeandika kama consultation fee hebu sema business yako mkuu

We ni disabled mpaka uamini kwamba lazima upewe hela?
 
Maisha yaliyobaki ni kugegedana tu wewe usiye gegedwa utakuwa mgonjwa si bureee
Inawezekana kabisa ukawa unajiuza, haiwezekani kwa mtu mwenye akili zilizo sawa akaleta upuuzi kama.... nadhani ulitegemea ugegedwe
 
Maisha yaliyobaki ni kugegedana tu wewe usiye gegedwa utakuwa mgonjwa si bureee
Ebwana eeeh kweli leo umeamua kujiachia
Ningekua na hela ningekuka Dom sema life langu lenyewe naganga ngoja niendelee kula kwa macho nisijekuanzishiwa uzi humu kama huyo jamaa[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…