Wanaume wa JF muwe mnatuma nauli mkitaka kuonana na warembo mwenzenu kanitia hasara!

Pole yako......
 
Ahahahaha mwenzangu nilivyotumiwa picha yupo kwenye ndege mara mavideo call nikajua nimepata dangaaa
Na ushukuru, bili ya chakula na vinywaji pia ingekuhusu mwenzako angejifanya kama anaongea na simu huyo angekuacha mataa ya ubungo wa shangaa peke ako
 
mbona ihumwa karibu tu hapo dada angu'
tatizo ulijiandaa kumpiga pesa jamaa yetu
 
Haaa haaaa na ww utaitaji ngapi, napenda uko muwaz weka gharama zako ijulikane tu. Ili kila mtu asipate usumbufu
 
Pole wewe ungemwambia kuwa atume nauli kabisa,but Mimi nikija nitkufuata na Gari yangu.
 
Mama La mama kwn unateseka njoo pm tuyajenge mama..
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nasisi wadada tukitaka kukuona,,nasisi tunalipa nauli??
Inategemea ukoje wanaume wa jf siunawaelewa kama unachura watatumia zao[emoji81] [emoji81] [emoji81]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wape Wape
 
Unavuta cha chuga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…