Hilo atuweke wazi, pia atuambie kama ukilipia mafuta ni short time au ni mpaka asubuhi......aweke sawa hapa nione kama naweza fanya chochote huko pm kwakeSielewi yaani mafuta ndo kigezo tu au? Mbona kitu kidogo sana
Ha ha ha ha wameumbukaEti mtu wiki nzima anakutumia PM ooh Jane nakupenda. Ooh umependeza sana. Ooh you are the most beautiful girl on earth. Basi unamwambia nitumie hela ya mafuta niweke kwenye Altezza yangu nikufuate ulipo. Loooo! Longolongo zinaanza. Punguzeni uhewa nyie.
Mafuta ya Altezza yapo njoo uchukue GHETO [emoji83]Eti mtu wiki nzima anakutumia PM ooh Jane nakupenda. Ooh umependeza sana. Ooh you are the most beautiful girl on earth. Basi unamwambia nitumie hela ya mafuta niweke kwenye Altezza yangu nikufuate ulipo. Loooo! Longolongo zinaanza. Punguzeni uhewa nyie.
Dah😂😂me siwezi kumtumia mtu hela ya mafuta wakati najua anamiguu..!!
we umeikurupua wapi hii komenti nimeisoma mpk nimeshituka sijui niliandika huku nawaza nini...🤣Dah😂😂
Kumbe fujo ulianza toka zamani🤒😄we umeikurupua wapi hii komenti nimeisoma mpk nimeshituka sijui niliandika huku nawaza nini...🤣
ndo namimi nashangaa imekuwaje!..😅Kumbe fujo ulianza toka zamani🤒😄
Hah😄,. Mie nilikuwa napita tundo namimi nashangaa imekuwaje!..😅
Ukiona sehemu nyengine komenti yangu yakitambo halafu ya hovyo tafadhari sana pita bila kuniita friji lako jitahidi ligandishe!, maana hiyo komenti imenishitua sana!..🤣Hah😄,. Mie nilikuwa napita tu
Haha,. Tatizo fundi wa fridge langu ana bei sana😂😂😂Ukiona sehemu nyengine komenti yangu yakitambo halafu ya hovyo tafadhari sana pita bila kuniita friji lako jitahidi ligandishe!, maana hiyo komenti imenishitua sana!..🤣
niruhusu mimi nikutibie...Haha,. Tatizo fundi wa fridge langu ana bei sana😂😂😂
Hahha sawa buana😄niruhusu mimi nikutibie...
Sawa leo usiku nitakujia ktk namna isiyoeleweka tutatue friji lako linalochemsha!, nitahitaji ustahimilivu wako tu!..😅Hahha sawa buana😄
Walmy welcome,. Utakua umenisaidia sana aisee☺️Sawa leo usiku nitakujia ktk namna isiyoeleweka tutatue friji lako linalochemsha!, nitahitaji ustahimilivu wako tu!..😅
ajabu ile namaliza tu naona umeshaweka uzi jf ya kwamba nilikuja..🤣🤣🤣Walmy welcome,. Utakua umenisaidia sana aisee☺️
Basi hapo fundi utakuwa huiamini kazi yako,. Mda huohuo lianze kusumbua tena😂😂ajabu ile namaliza tu naona umeshaweka uzi jf ya kwamba nilikuja..🤣🤣🤣
Likifanya hivyo narudi nachomoa waya nalijaza barafu lote!..😅Basi hapo fundi utakuwa huiamini kazi yako,. Mda huohuo lianze kusumbua tena😂😂
Kwa hasira au sio😂😂Likifanya hivyo narudi nachomoa waya nalijaza barafu lote!..😅