Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
serious i'm telling You, Mara kumi uombe mchango wa kutatua matatzo yako kifamilly lkn sio kuomba dating support...Teh acheni uchoyo meen
Nyie hamuelewekagi.. mkiyumiwa PM mnalalamika halikadharika msipotumiwa napo mnalalama...hahaaa ila humu jf kuna members vichomi daily kwenye Pm hawachoki khaaa...
Hahaha Jane anataka mafutaaa, yaani umewakilisha vyema tabia ya wadada wa kibongo, ukisalimia tu dada mambo, unasikia poa naomba vocha.Eti mtu wiki nzima anakutumia PM ooh Jane nakupenda. Ooh umependeza sana. Ooh you are the most beautiful girl on earth. Basi unamwambia nitumie hela ya mafuta niweke kwenye Altezza yangu nikufuate ulipo. Loooo! Longolongo zinaanza. Punguzeni uhewa nyie.
Mjazie mafutaJane Lowassa nakupenda!
Ndiyo yale ya kuuza simu ununue vocha teh tehAah!!! Altezaaaa ulinunua Alteza ukiwa huna hela ya mafuta??? Uza Alteza ununue mafuta!!!
Na mimi nitumie ya mafuta basi.... Si unanipenda eti!Mjazie mafuta
Oooh sana, wewe nimesharusha m pesa tayariNa mimi nitumie ya mafuta basi.... Si unanipenda eti!
Nilichosema ni kuwa mimi siyo mwepesi kihivyo. Lazima mtu agharamie mafuta ndiyo nijue yuko serious
Okay....serious i'm telling You, Mara kumi uombe mchango wa kutatua matatzo yako kifamilly lkn sio kuomba dating support...
Mtani naomba nikupende mimi[emoji85] [emoji85]Na mimi nitumie ya mafuta basi.... Si unanipenda eti!
To a hela ya mafuta ya altezaJane Lowassa nakupenda!
Jamani Jane Lowasa!! Sio longo longo ...Mkuu wa nchi keshasema tupunguze matumizi yasiyokua ya lazima kwa nini usipande gari za mwendo kasi kuokoa gharama???Eti mtu wiki nzima anakutumia PM ooh Jane nakupenda. Ooh umependeza sana. Ooh you are the most beautiful girl on earth. Basi unamwambia nitumie hela ya mafuta niweke kwenye Altezza yangu nikufuate ulipo. Loooo! Longolongo zinaanza. Punguzeni uhewa nyie.
We mamkweTo a hela ya mafuta ya alteza
Nambie hata [emoji337] hupigiWe mamkwe