Wanaume wa JF ni wanaume hewa?

Wanaume wa JF ni wanaume hewa?

Eti mtu wiki nzima anakutumia PM ooh Jane nakupenda. Ooh umependeza sana. Ooh you are the most beautiful girl on earth. Basi unamwambia nitumie hela ya mafuta niweke kwenye Altezza yangu nikufuate ulipo. Loooo! Longolongo zinaanza. Punguzeni uhewa nyie.
Unamiliki Alteza bado unabomu mafuta ya sh 30,000 au 50,000. unajnishusha hadhi!! wewe mfuate msalimie mwabie na wewe umemzimia kodisha hotel kali akukute una khanga tu hatel ya 5 star sasa hpo muone atakavyohangaika. na hapo ukitaka sio 30,000 bali pesa ndefuu. shida mnajiweka cheap, sasa unaomba hela na vocha, sijui njaa kula. if you play chips utakuwa cheap na mtu serious atakuignore.
wadada mpo hapo?
 
Dah! We Jane Lowassa nishaanza kukupenda tayari... kukuhonga tu, sio issue kabisa-- ugomvi wangu mimi mambo ya vocha... hapo hapana!
 
Hahahahaa... kwel kila mwanamke anajiuza.
Tatizo ni kujua jinsi anavyoifanya iyo biasharaa...

Sawa mama nipe namba nikutumie ela ya mafuta uje Arusha.
 
Jerrymalisa said:
Hahahahaa... kwel kila mwanamke anajiuza.
Tatizo ni kujua jinsi anavyoifanya iyo biasharaa...

Sawa mama nipe namba nikutumie ela ya mafuta uje Arusha.
Siyo kama najiuza. Ila watu wananisumbua sana PM.
 
Duh pole sana Jane! Guyz wameamua kukupumzikia but sio poa kutuita hewa though others we don't take it serious
 
Kumbe mbwembwe zote. ....Huna hela.

Na kwa kutafuta kiki ukajipa jina la mzee wa mabadiliko.
 
Eti mtu wiki nzima anakutumia PM ooh Jane nakupenda. Ooh umependeza sana. Ooh you are the most beautiful girl on earth. Basi unamwambia nitumie hela ya mafuta niweke kwenye Altezza yangu nikufuate ulipo. Loooo! Longolongo zinaanza. Punguzeni uhewa nyie.
hahaha acha uzamani ka mtu kakuvutia jiongeze mfate kwa gharama zako ka alitaka mkutane muache ajiongeze yy sio unatuita wanaue hewa wakat unaweka complications mwenyewe...............its 2016
 
Tatizo lako binti umeomba jamvi msibani.......

Hasa wakati huu ambao hata mia inapigiwa mahesabu makali ya baadae......
 
Tupia picha na ID za hao wanaokusumbua PM hapa nikutumie hela dear
images-14.jpeg
 

Attachments

  • funny_pee_in_pants.jpg
    funny_pee_in_pants.jpg
    85.7 KB · Views: 56
sawa tumeshajua kama una Altezza na Saloon ila tuna mashaka kama ulinunua au ulihongwa? Kama ulinunuliwa basi hongera ila kwa kipindi hiki cha magu hautotumiwa hata hela ya vocha sahau kuhusu mafuta
 
hahahahaha!!!! jane he is not ur type ,further more u made my morning......
 
Hahahahaa... kwel kila mwanamke anajiuza.
Tatizo ni kujua jinsi anavyoifanya iyo biasharaa...

Sawa mama nipe namba nikutumie ela ya mafuta uje Arusha.
IC wewe mkali kwanza ushaanza na dongo la kujiuza! then watoa ofa sasa akikubali anatimiza ulichosema!! na ndio maana wanaishia kuomba then ukituma hawaji ng'o!!
 
ko inamana angetuma hyo hela ya mafuta angekua amesha kukojolea tayar et, nadhan hyo lowassa sio ubini wako! unamzaririsha mzee.
 
Back
Top Bottom