Maarifa
JF-Expert Member
- Nov 23, 2006
- 4,568
- 2,918
Unamiliki Alteza bado unabomu mafuta ya sh 30,000 au 50,000. unajnishusha hadhi!! wewe mfuate msalimie mwabie na wewe umemzimia kodisha hotel kali akukute una khanga tu hatel ya 5 star sasa hpo muone atakavyohangaika. na hapo ukitaka sio 30,000 bali pesa ndefuu. shida mnajiweka cheap, sasa unaomba hela na vocha, sijui njaa kula. if you play chips utakuwa cheap na mtu serious atakuignore.Eti mtu wiki nzima anakutumia PM ooh Jane nakupenda. Ooh umependeza sana. Ooh you are the most beautiful girl on earth. Basi unamwambia nitumie hela ya mafuta niweke kwenye Altezza yangu nikufuate ulipo. Loooo! Longolongo zinaanza. Punguzeni uhewa nyie.
wadada mpo hapo?