mwenyeKitu
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 946
- 771
Mpaka sasa hadhi yako imeshuka....umejiweka kundi la milupo. ..kwa kulewa sifa za PM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wavimba macho hawanipi shidasiku ya leo naona nimbaya sana kwako pole sana sis naona unapigwa za uso pande zote 2
Unanijua unanisikia? Naweza kukupa hela ya kula ya mwezi mzimaMpaka sasa hadhi yako imeshuka....umejiweka kundi la milupo. ..kwa kulewa sifa za PM
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] !!!Eti mtu wiki nzima anakutumia PM ooh Jane nakupenda. Ooh umependeza sana. Ooh you are the most beautiful girl on earth. Basi unamwambia nitumie hela ya mafuta niweke kwenye Altezza yangu nikufuate ulipo. Loooo! Longolongo zinaanza. Punguzeni uhewa nyie.
Upo mkoa gani??nipo arusha sh.ngapi ya mafuta itatosha ufike ?Eti mtu wiki nzima anakutumia PM ooh Jane nakupenda. Ooh umependeza sana. Ooh you are the most beautiful girl on earth. Basi unamwambia nitumie hela ya mafuta niweke kwenye Altezza yangu nikufuate ulipo. Loooo! Longolongo zinaanza. Punguzeni uhewa nyie.
Tena dry tu kama yeye alivyo white sipati picha hiyo vutu yake ilivyo na mvuto wallah.wengi wetu tunapenda tiGO [emoji15] [emoji15]
Sura ninayo. Na shepu ninayo. Huwezi kunilinganisha na videmu vichovuchovu
hapo kinachohudumiwa ni gari au ww?Mwanamke kuhudumiwa
Nina kipato kizuri tu. Hiyo hela ya mafuta ni wajibu wa mwanaume...huu utapeli mbn umepitwa na wakati ,ooh nitumie hela ya mafuta,nyoo,sema uko wapi tukutane
Nina mashaka we ni dume tapeli,umeweka hilo jina kama mtego ili kuwanasa maboyaMwanamke kuhudumiwa
Mimihapo kinachohudumiwa ni gari au ww?
Kama hupendi kupoteza mafuta yako si umwambie akufuate badala ya kukimbilia kudai hela,kwani kuonana lazima wewe umfuate?Soma mada vizuri. Hapa nazungumzia wanaume wa JF. Mtu anataka tuonane halafu gharama ya mafuta juu yangu
Teh acheni uchoyo meenUsipanic Jane, wanaume walio kwenye hii forum wako Busy na matatizo ya Nchi sidhani kama wapi kwa ajiri ya dating, ungejaribu kucheki kwingine....
MpeUnanijua unanisikia? Naweza kukupa hela ya kula ya mwezi mzima