Oscar M Lungu
JF-Expert Member
- May 25, 2016
- 477
- 741
duuuuh!!!! Tuma kwanza picha ako labda tukuthaminishe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena milio ya Nokia ringoHahaha ulivyohongwa ulijua inatumia michemsho?? Uza altezza upate nauli ya mabasi ya mwendo kasi! Wanawake wa Dar bana kutwa kupiga mzinga,alafu ukimpeleka ghetto kukamua makelele meeeengiiiiii
MSIPENDE KUJITAMBA WAKATI TUNAWAFAHAMU HUMUMwanamke wa mtandaoni? Mi nafanya kazi ofisi nzuri tu hapa town. Halafu nina mradi wa salon unaniingizia hela nzuri tu. Na sijafika hata miaka 27
Simplicity NJOO HUKU KUNA MWANAMKE WA KICHAGA MPE NENOSoma mada vizuri. Hapa nazungumzia wanaume wa JF. Mtu anataka tuonane halafu gharama ya mafuta juu yangu
Mwanamke kuhudumiwa
Unajidharirisha.... yaani umesifiwa n kuambiwa unapendwa basi ukapiga mzinga...!!! Huna mia nne yavkupanda daladala ukamfuaya aliko..?Eti mtu wiki nzima anakutumia PM ooh Jane nakupenda. Ooh umependeza sana. Ooh you are the most beautiful girl on earth. Basi unamwambia nitumie hela ya mafuta niweke kwenye Altezza yangu nikufuate ulipo. Loooo! Longolongo zinaanza. Punguzeni uhewa nyie.
Ahahahahaaha Jeniiiii.... hivi unajuwa kina watu wanakuona wewe ni demu mchovu..?? Maana demu kuwa mchovu inategemea unamringanisha na nani...Sura ninayo. Na shepu ninayo. Huwezi kunilinganisha na videmu vichovuchovu
Ah hahahahaaaa agiza jingine uchubuke hadi mishipa ya damu ionekanekumbe mnapenda mikorogo wacha niagize kopo jingine.
0765869044Numbre Wapi???
Ukweli mgumuAah!!! Altezaaaa ulinunua Alteza ukiwa huna hela ya mafuta??? Uza Alteza ununue mafuta!!!
Dada J nimekumissUkweli mgumu
Miss u zaidiDada J nimekumiss
Hahahaa au siemens s35!Tena milio ya Nokia ringo
We naona unashadadia usichokijua. OvyoooHahahaa au siemens s35!
Tokea siku ile utupie picha zako hapa JF hadi leo nina hamu ya kukutumia pesa za mafuta ya altereza dear! [emoji1]hahaaa ila humu jf kuna members vichomi daily kwenye Pm hawachoki khaaa...