Wanaume wa JF ni wanaume hewa?

Wanaume wa JF ni wanaume hewa?

Kama kuna biashara inayoendelea hapo tunaomba price list pamoja na hicho kinachouzwa sio sura hatuitaki kuiona
 
Siyo kama najiuza. Ila watu wananisumbua sana PM.
Naomba nikuulize, Huyo au hao wanaume wangekutumia ela ya mafuta ungeenda kuwafuata? Mi nadhani umeona hakuna anayeku PM licha ya kujitahidi kuweka Avatar sasa unaona utangaze biashara. Ok watakuja kuku PM maana gharama za huduma umeshaziweka wazi.
 
Wanaume Wa miaka hii sio Wa miaka ya 90 , hivi mwanaume utume hela kimchezo tu hivyo ooooh my GOD , wadada mna shida gani
 
Jane ngoja wenye visima tuje...! sasa mtu alitaka muonaneje eti? mbona mafuta ni lugha rahisi sana..watu wagumu sana kuelewa.

remind me again...waishi wapi tena? #pm
 
Alafu hako kamtindo kametawala sana mjini hapa kama mmegundua....
Eti hela ya mafuta kwani wewe ni Heli? Kwani mpaka uje na gari huwezi kupanda dala dala au ukaja kwa miguu?! stupid..
 
badirisha huo ubin maana hauendani na mzee pse
 
Magufuli ukimaliza kutumbuwa watumish hewa, uje na huku kwa wanawake hewa kama huyu @jlowassa. Cku zote nasema ni bora kufa ukiwa na mawazo yanayoishi kuliko kuishi na mawazo yaliyokufa kama ya JLowassa. Kwa ufinyi wa akili yake, anaamua kutoa uzi huu kujioyesha kuwa
1. et wanaume weng wa JF wanamtaka kumbe ni kick na kutaka umaarufu.
2. et amiliki hcho kijiusafiri ingawaje cna ila tambua kuna watu humu JF wanamlk zaid ya hlo na hakuna mwenye kujitangaza kama wewe.
3.unataka watu waone kuwa unatongozwa xana kumbe ni akili finyu kwani kutongozwa kwa m'mke ni kawaida
4. Suala la mafuta ni makubaliano yenu, mbon ulivyomkubali hukusema?
5. Ni wanaume wangap jf unawakubali halafu husemi na unatoka nao kmyakmya
 
kumbe mdogo wangu Jane Lowassa na wewe una cheap mind hivyo? mbona hukuniomba ushauri kabla ya kupiga vizinga vya 1980s!
 
Sasa siku hizi mizinga ya fb unaombwa 20000 hapo anaomba watu kama 50!
 
Back
Top Bottom