Wanaume wa JF ni wanaume hewa?

Wanaume wa JF ni wanaume hewa?

Point ya msingi ni mtu kunitaka nimfuate kwa gharama zangu. Whether it is by Altezza or on a public transport. Jifunze kuelewa msingi wa mada. Itakusaidia sana maishani
Hapo umeeleweka mkuu na hao ambao hawaelewi ni wale wa chama cha mwendokasi.
 
Kwani mpaka ukutumie hela ya mafuta ndio uonane nae? Si unaweza ukamwita tu akaja yeye
 
Back
Top Bottom