Numbre Wapi???Haya rusha basi
[emoji115] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kwa hiyo kukuona tu atoe pesa, wewe ni SINEMA?
Ulidhani wanaume wote wako easy kuwachomoa hela namna hiyo? Ungepeleka papuchi kwanza mkikwichikwichi ndipo umwambie, "baby nimekopa pesa ya alteza yangu hivyo naiomba nikamlipe" ungeona kama angekataa. Epuka kuitwa K.I.L. AZAPoint ya msingi ni mtu kunitaka nimfuate kwa gharama zangu. Whether it is by Altezza or on a public transport. Jifunze kuelewa msingi wa mada. Itakusaidia sana maishani
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]kupenda ni PETROL?????
Haha hata mimiAhahahaha akirudi kujibu hii coment na log out
Daaah Leo mtanivunja mbavuHiyo Alteza ni kwa ajili ya kufuata wanaume?
I always never take JF serious,Eti mtu wiki nzima anakutumia PM ooh Jane nakupenda. Ooh umependeza sana. Ooh you are the most beautiful girl on earth. Basi unamwambia nitumie hela ya mafuta niweke kwenye Altezza yangu nikufuate ulipo. Loooo! Longolongo zinaanza. Punguzeni uhewa nyie.
kuna mwanaume atakuwa aliipenda avatar sasa kutoa hela yamafuta anamzinguaUlidhani wanaume wote wako easy kuwachomoa hela namna hiyo? Ungepeleka papuchi kwanza mkikwichikwichi ndipo umwambie, "baby nimekopa pesa ya alteza yangu hivyo naiomba nikamlipe" ungeona kama angekataa. Epuka kuitwa K.I.L. AZA
basi kwa huu u.pupu unaopakaza mitandaoni sishangae kamweMwanamke wa mtandaoni? Mi nafanya kazi ofisi nzuri tu hapa town. Halafu nina mradi wa salon unaniingizia hela nzuri tu. Na sijafika hata miaka 27
kwa picha uliyoweka siku ile na mikorogo yako usoni kwnni wasikusumbuehahaaa ila humu jf kuna members vichomi daily kwenye Pm hawachoki khaaa...
Mi nina maisha mazuri tuWanawake wa sikuizi wengi wao machangudoa,sema wanapishana namna ya uuzaji wa papuchi,kuna wanaouza kwa kujipanga,kuna wanaouza kwa tumzinga twa kishenzi kama hutu,n.k,,toka wazuie kuzianika barabaran nw dayz imekua tabu balaa,ndio ivyo imebidi wauzie kwenye mitandao kama hivi...pesa ya mafuta ingetumwa sijui kama ungekuja hapa na kusema wanaume wa sasa hivi ni mafisad wanahonga kama flan
Sasa pesa ya mafuta uliomba ya nn mama mh?? Huku si ndo kutudanganya ama,,kwan wema nae si anamaisha mazuri lkn bihashara yake si unaiona?Mi nina maisha mazuri tu
Ah hahahahaa mkuu tangu sirikali ipige marufuku minazi barabaraniKwanza lipia Tangazo lako.
Mwenye maisha mazuri anaomba petrol?Mi nina maisha mazuri tu
Mbona waomba sasa pesa ya mafuta?Mi nina maisha mazuri tu
kumbe mnapenda mikorogo wacha niagize kopo jingine.kwa picha uliyoweka siku ile na mikorogo yako usoni kwnni wasikusumbue