Wanaume wa JF ni wanaume hewa?

Wanaume wa JF ni wanaume hewa?

Point ya msingi ni mtu kunitaka nimfuate kwa gharama zangu. Whether it is by Altezza or on a public transport. Jifunze kuelewa msingi wa mada. Itakusaidia sana maishani
Ulidhani wanaume wote wako easy kuwachomoa hela namna hiyo? Ungepeleka papuchi kwanza mkikwichikwichi ndipo umwambie, "baby nimekopa pesa ya alteza yangu hivyo naiomba nikamlipe" ungeona kama angekataa. Epuka kuitwa K.I.L. AZA
 
Wanawake wa sikuizi wengi wao machangudoa,sema wanapishana namna ya uuzaji wa papuchi,kuna wanaouza kwa kujipanga,kuna wanaouza kwa tumzinga twa kishenzi kama hutu,n.k,,toka wazuie kuzianika barabaran nw dayz imekua tabu balaa,ndio ivyo imebidi wauzie kwenye mitandao kama hivi...pesa ya mafuta ingetumwa sijui kama ungekuja hapa na kusema wanaume wa sasa hivi ni mafisad wanahonga kama flan
 
Eti mtu wiki nzima anakutumia PM ooh Jane nakupenda. Ooh umependeza sana. Ooh you are the most beautiful girl on earth. Basi unamwambia nitumie hela ya mafuta niweke kwenye Altezza yangu nikufuate ulipo. Loooo! Longolongo zinaanza. Punguzeni uhewa nyie.
I always never take JF serious,
Hii avatar yako ya kike kumbe mwenyewe ni dume,

Bila kutaja Altezza husikii raha, basi tumeshafahamu una Altezza na sio gari.

Hebu niende kwenye thread za tz ya viwanda mie
 
Ulidhani wanaume wote wako easy kuwachomoa hela namna hiyo? Ungepeleka papuchi kwanza mkikwichikwichi ndipo umwambie, "baby nimekopa pesa ya alteza yangu hivyo naiomba nikamlipe" ungeona kama angekataa. Epuka kuitwa K.I.L. AZA
kuna mwanaume atakuwa aliipenda avatar sasa kutoa hela yamafuta anamzingua
 
Wanawake wa sikuizi wengi wao machangudoa,sema wanapishana namna ya uuzaji wa papuchi,kuna wanaouza kwa kujipanga,kuna wanaouza kwa tumzinga twa kishenzi kama hutu,n.k,,toka wazuie kuzianika barabaran nw dayz imekua tabu balaa,ndio ivyo imebidi wauzie kwenye mitandao kama hivi...pesa ya mafuta ingetumwa sijui kama ungekuja hapa na kusema wanaume wa sasa hivi ni mafisad wanahonga kama flan
Mi nina maisha mazuri tu
 
Mimi nalipia huduma niliyokwishatumia, yanini kulipia huduma ambayo bado sijatumia?.
 
Hahaha ulivyohongwa ulijua inatumia michemsho?? Uza altezza upate nauli ya mabasi ya mwendo kasi! Wanawake wa Dar bana kutwa kupiga mzinga,alafu ukimpeleka ghetto kukamua makelele meeeengiiiiii
 
Back
Top Bottom