Wanaume wa JF ni wanaume hewa?

Hahaha ulivyohongwa ulijua inatumia michemsho?? Uza altezza upate nauli ya mabasi ya mwendo kasi! Wanawake wa Dar bana kutwa kupiga mzinga,alafu ukimpeleka ghetto kukamua makelele meeeengiiiiii
Tena milio ya Nokia ringo
 
Naona vidume vinavyonitumiaga PM vinaanza kujitokeza.
 
Sura ninayo. Na shepu ninayo. Huwezi kunilinganisha na videmu vichovuchovu
 
Unajidharirisha.... yaani umesifiwa n kuambiwa unapendwa basi ukapiga mzinga...!!! Huna mia nne yavkupanda daladala ukamfuaya aliko..?
 
Sura ninayo. Na shepu ninayo. Huwezi kunilinganisha na videmu vichovuchovu
Ahahahahaaha Jeniiiii.... hivi unajuwa kina watu wanakuona wewe ni demu mchovu..?? Maana demu kuwa mchovu inategemea unamringanisha na nani...
 
Kaziiii kweli kweli, inakuwaje vidume mnashinda PM halafu kwenye financial mnashindwa kuonyesha ushirikiano?
 
hahaaa ila humu jf kuna members vichomi daily kwenye Pm hawachoki khaaa...
Tokea siku ile utupie picha zako hapa JF hadi leo nina hamu ya kukutumia pesa za mafuta ya altereza dear! [emoji1]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…