Kulea mama na mtoto sio tatizo tatizo ni huyo jamaa baba wa mtoto hataacha kupasha kiporo kwa gia ya kumjulia hali mtoto.Kuna watu walio wahi kuwadate single mothers wakaenda poa, ila wengi mambo hayawi mazuri, halafu baba wa mtoto anaweza piga mzigo muda.
Hata wewe single mother mwenyewe sidhani kama ungependa mtoto wako wa kiume aje alee mtoto asiye wake.
Pia uki date na single mothers unafanya double work, umfurahishe mama na mwanae.
*kuna wale ambao walio zaa nao walifariki wana la kujitetea, zaidi ya hapo wanawake kuweni makini siyo kila mwanaume wa kuzaa naye tu.
Povu la Omo 100%Achana nao wasikuumize kichwa Bora Mimi single mother najitambua na jamii inajua hivyo kuliko wao wanalea watoto wa wanaume wenzeo bila kujua, na wamelelewa na ma Baba ambao si wao
Sio Kweli Kabisa,Kulea mama na mtoto sio tatizo tatizo ni huyo jamaa baba wa mtoto hataacha kupasha kiporo kwa gia ya kumjulia hali mtoto.
Mkuu mpo wachache sana wahivyo juzi tu hapa mshkaji kapata kazi na alikolea kwa single mum mmoja na huyo single mother kiukweli ana roho nzuri sana na anajiheshimu.Sio Kweli Kabisa,
Mimi ninawasiliana na mwanamke aliyenizalia watoto wawili hatuko Pamoja kwenye mahusiano lakini halipo hata wazo Miongoni mwetu la kukumbushia even a single hug. HALIPO WAZO HILO
Mpwa Azarel wanadamu tuna tofauti katika tabia zetu, mimi binafsi Sina wazo Hilo na Naamini hata huyo mwanamke tuliyezaa Watoto ambao ninawalea mimi naye Hana Hilo wazo, ni Binti Mrembo kiukweli.Mkuu mpo wachache sana wahivyo juzi tu hapa mshkaji kapata kazi na alikolea kwa single mum mmoja na huyo single mother kiukweli ana roho nzuri sana na anajiheshimu.
Jamaa akaanza utaratibu wa kuishi naye na alimlipia ada ya miezi 6 mtoto wa huyo mwanamke pamoja na kumweka dukani kwa jamaa awe anauza yeye, huyo mwanamke alimwambia kuwa hata namba ya Ex wake waliozaa naye hana tena wala hawawasiliani.
Maajabu baadaye jamaa alikuta message ya Ex wa bibie wanapanga kukutana lodge.
Jamaa anajilaumu sana hivi sasa.
HahahahaKulea mama na mtoto sio tatizo tatizo ni huyo jamaa baba wa mtoto hataacha kupasha kiporo kwa gia ya kumjulia hali mtoto.
pamoja na mbishi.dHapa naona pamenivuka kimo, ebu ngoja niweke kambi ya kuam msomaji tu.
Anayeweza kukuhakikishia raha ya milele ni Bwana Mungu pekee na si binadamu!teh tehkweli kbs bora single mother kuliko abortion ila ubaya wa single mother wana ugonjwa wa kuona hawana thamani tena na magubugubu ila hwn shida kbs ni wanawake km wengine ila wanahitaji mwanaume wa kuwapenda km walivyo na kuwahakikishia raha ya milele maana wengi wao uwaga chuki,hasira,majuto sana moyoni,they need a man to heal their soul....mwanaume anayeweza kuelewa kichaa chao kimeletwa na nini na akawavumilia kwa yote
............
Vp wakitaka kukumbushia huwa unawapa tamtamuuu dasir koren?Ndio tena "Senior Single Mother"
Kwako? Endeleeni kujiliwazaPovu la Omo 100%
Unataka nani ayaseme mapungufu yao? Kama unayajua yaseme wewe, all in all single mothers ni ugonjwa wa moyo!! Mi kwa sasa sitaki hata kuwasikia!!hivi hakuna ma single dady??
na kama wapo mbona sija wahi kusikia wakisemwa kama single mother ??
kwan wao hawana mapungufu??
Bora useme wewe mkuu, nakupongeza sana, kuna me wanajitambua ni pamoja na weweSio Kweli Kabisa,
Mimi ninawasiliana na mwanamke aliyenizalia watoto wawili hatuko Pamoja kwenye mahusiano lakini halipo hata wazo Miongoni mwetu la kukumbushia even a single hug. HALIPO WAZO HILO
kweli kabisaa,mtu tangu una mimba no communication wala nini halafu eti aje apashe kiporo..never happen[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kupasha hata kwa msichana yoyote asiyejithamini anaweza Fanya hvyoo
Mwanaume mwingine katelekeza watoto hata kumsikia tu mwanamke hutaki then kirahis rahis tu upashe kiporo!!
Sio kweli
achana nao hawa...!kweli kabisaa,mtu tangu una mimba no communication wala nini halafu eti aje apashe kiporo..never happen
Sio wote pia inategemea na jinsi mahusiano yao yalivo asa mtu tangu una mimba huna communication nae hadi unajifungua maybe kaja kujileta wakati mtoto kakua man kama huyo naanzaje kumvulia tena labda uwe chizi ndo unaweza fanya ujinga huoNyie huwa mnaongeaga tu nishawa date singo mazaz na bado wanamegwa na jamaa waliowazalisha .
Well saidTo me they did nothing wrong I just see them as strong one to decide to carry in with their life rather than being treated so bad no love found just love lost from the man that was the reason behind them be calling single mother. And on the other hand I don't think is the right thing to use abusive language whole we are talking about them coz most of us are being raised by single mother since the father didn't want to take full responsibility of the situation.. Almost all of men can impregnant a woman but not all of us can be a real father so mind yo that... [emoji17]