miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,811
- 49,053
utadhani walijitia mimba wenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ningependa kujua mtazamo wakohuo mtazamo wako siwezi pinga!
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Yeah mkuu...
Ameni elewesha tayari.
Lakini nimejikuta nacheka sana[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kwani walishikiwa kisu ili watiwe mimbautadhani walijitia mimba wenyewe
Najua huogopi ila sioni kama ni jambo la kulifanya just kuwa makini tuuAm never afraid to be! Cha kushukuriwa na kujivunia nina watoto wazuri sana
Hili nalo neno.Anaweza asiwe na mtoto lkn ukawaolea watu
Huyi kasha jumlisha wote wako hivonyoooo!!chapa ilale sio kweli!!
chapa ilale ni tabia ya mtu tu!
ikitokea Acha nikaongeze nguvu ya mapambano ya single mother [emoji108]Najua huogopi ila sioni kama ni jambo la kulifanya just kuwa makini tuu
Mwingine aliolewa wakadivorce ,mwingine ni mtu aliyekua ana malengo na mengi tu!Sawa ni tabia ya NTU na ntu Ila ile kondisheni ya kuzaa na lijamaa fulani hivi huko[emoji15] inawafanya thamani ya nyie kupendwa ishuke
Ukiona umependwa jua umependwa kimashakamashaka tu Ila jamaa bado hana imani labda alivutiwa na uzuri wako tu au una chura [emoji196] amazing
But the case wewe kuwa singo maza na jamaa yako yupo bado ni tatizo unsolvable[emoji2]
kwani mi nilijua hicho kibao ni cha mimbaKwani walishikiwa kisu ili watiwe mimba
Si waliachia mzigo wenyewe[emoji2]
Kumbe ipo lakin sio kwa wote.? Aiih unantisha sas kuhus kuw na single mother [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Sio kweli kwamba mzazi mwenza anaweza akajipigia atakavyo kisa una mtoto nae tatizo wengi mmekariri hivo but hiyo kitu haipo kwa wote.
Ndo tatizo wakati humu kila siku watu wanaleta thread za matatizo na wapenzi waoHuyi kasha jumlisha wote wako hivo
Ndo shida nyingine tena hiyo
Naomba nikuelewe hapo "Kirahisi Rahisi" Atatumia muda gani kufanikisha zoezi??[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kupasha hata kwa msichana yoyote asiyejithamini anaweza Fanya hvyoo
Mwanaume mwingine katelekeza watoto hata kumsikia tu mwanamke hutaki then kirahis rahis tu upashe kiporo!!
Sio kweli
Hivi wakati mnacheza unaweza jua huyu jamaa ataniumiza halafu uendelee kuucheza kweli?? Hamna anayejua ila likishatokea ndo utamjua mwenzako yuko kwenye msimamo upi.Wewe unajua huu mchezo mwisho utakuumiza wewe kwanini uucheze ngoja wakome, mshahara wa dhambi nimmauti mkuu.
Walio divorce wengi kukumbushia ndio rahsi zaidi wakikutana.Mwingine aliolewa wakadivorce ,mwingine ni mtu aliyekua ana malengo na mengi tu!
Bahati mbaya hawakudumu!
Suala la kushuka thamani inategema huyo mdada pia anavyojiheshimu na namna anavyothamini yy mwenyewe!
Wapo wanaowapenda hao single mothers kwa dhati kabisa ya moyo na wakaishi kwa amani katika maisha yao
Hapa wengi ni vijana na wana mitazamo tofauti!
ukiona mtu analalamika juu ya single mothers ujue naye ni initiator wa hiyo statushalafu hao hao wana watoto nje