Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] pole hao wa kwako!majipuuu!Nyie huwa mnaongeaga tu nishawa date singo mazaz na bado wanamegwa na jamaa waliowazalisha .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] pole hao wa kwako!majipuuu!Nyie huwa mnaongeaga tu nishawa date singo mazaz na bado wanamegwa na jamaa waliowazalisha .
Kwaiyo wewe ushauri wako kwa ma binti ni Upi Wakipata mimba watoe ili waepuke kuku over work au bora wawe single mother!?Kuna watu walio wahi kuwadate single mothers wakaenda poa, ila wengi mambo hayawi mazuri, halafu baba wa mtoto anaweza piga mzigo muda.
Hata wewe single mother mwenyewe sidhani kama ungependa mtoto wako wa kiume aje alee mtoto asiye wake.
Pia uki date na single mothers unafanya double work, umfurahishe mama na mwanae.
*kuna wale ambao walio zaa nao walifariki wana la kujitetea, zaidi ya hapo wanawake kuweni makini siyo kila mwanaume wa kkuznaye tu.
sidhani kama kuna ubaya!Inaonekana ulishapitia apo si kwa maelezo ayo
Hakuna ubayasidhani kama kuna ubaya!
Nipe nafasi basi nikudate "nijionee tofauti"[emoji12][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] pole hao wa kwako!majipuuu!
Hapo sawa mkuu.
Nime kuelewa sawia.
Lakini.....
Misijui kwanini hili swala la single mama's linaendela kutamalaki. Pengine hii inasababishwa na sisi wababa kutokuwathamini watoto wetu hata kama tayari tume tofautiana na mama zao.
Kimsingi wababa tunapaswa kubadilika tu na kujipanga katika swala zima la malezi, hii ikiwa pamoja na kuamua kuwachukua watoto wetu na kuwalea kama wababa wenye upendo kwa watoto wao, na sioni kama kuna ubaya ikiwa wazazi tukaweka taratibu za watoto kutembelea mzazi wa upande wa pili ikiwa watataka kufanya hivyo.
Haha no wonder binti yako anakupenda sana, bado anakutania na[emoji482] [emoji482] zako lol?Hapo sawa mkuu.
Nime kuelewa sawia.
Lakini.....
Misijui kwanini hili swala la single mama's linaendela kutamalaki. Pengine hii inasababishwa na sisi wababa kutokuwathamini watoto wetu hata kama tayari tume tofautiana na mama zao.
Kimsingi wababa tunapaswa kubadilika tu na kujipanga katika swala zima la malezi, hii ikiwa pamoja na kuamua kuwachukua watoto wetu na kuwalea kama wababa wenye upendo kwa watoto wao, na sioni kama kuna ubaya ikiwa wazazi tukaweka taratibu za watoto kutembelea mzazi wa upande wa pili ikiwa watataka kufanya hivyo.
Mkuu.....To me they did nothing wrong I just see them as strong one to decide to carry in with their life rather than being treated so bad no love found just love lost from the man that was the reason behind them be calling single mother. And on the other hand I don't think is the right thing to use abusive language whole we are talking about them coz most of us are being raised by single mother since the father didn't want to take full responsibility of the situation.. Almost all of men can impregnant a woman but not all of us can be a real father so mind yo that... [emoji17]
ndio manna kila ofisi ina dawati la malamiko au suggestion boxes.... hakuna shida wangu... malalamiko yenu yamefika yanafanyiwa kaziKwan ajabu kusema ya moyoni mpaka unaita kulalamika!?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nipe nafasi basi nikudate "nijionee tofauti"[emoji12]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Haha no wonder binti yako anakupenda sana, bado anakutania na[emoji482] [emoji482] zako lol?
Nitapitia denge treni si inazungukaga milima[emoji3][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
too late to catch the train!!
Aisee umenikumbusha ile 61% ya mkemia mkuu.Achana nao wasikuumize kichwa Bora Mimi single mother najitambua na jamii inajua hivyo kuliko wao wanalea watoto wa wanaume wenzeo bila kujua, na wamelelewa na ma Baba ambao si wao
Aah aah sijaamini bado teh[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nimeamua kupumzika mkuu, mambo mengi na majukumu yanaongezeka pia uzee huoooo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hakuna denge hapoo!!Nitapitia denge treni si inazungukaga milima[emoji3]
ukitoa mimba unakuwa MAMA ULIYEFIWA NA MTOTO😀😀😀😀Kwaiyo wewe ushauri wako kwa ma binti ni Upi Wakipata mimba watoe ili waepuke kuku over work au bora wawe single mother!?
Niamini tu mkuu, mimbona nakuamini sana..[emoji5] [emoji5]Aah aah sijaamini bado teh
Siku zote mwanamke mtu mzima huzaa na mwanaume aliyempenda ila mambo hutuendea kombo tu na hatupendi itokee hivyo, ila Dunia ni uwanja wa mapambano na Mwanamke jasiri huendelea kupambana hata mkiwakosoa muwakosoavyo hatupi mtoto wakeyah ni kwel kabisa tumekua tunakwepa majukumu yetu kuhusu hawa watoto kwa kias kikubwa sana na imefikia kipind wadada nao wamekua na hulka ya kusema acha nizae tu tutajua mbele kwa mbele.
lakin iwe fundisho kwa wadada kwa maana moja majorty ya single mothers wanashindwa kujitambua wajibu na majukumu yao linapofika swala la kuanza mahusiano mapya na hapo ndipo wanaume wengi wanaogopa sana na kuishia kukimbia.
Ila singo maza watamu sana kunako [emoji14][emoji23] [emoji23] [emoji23] hakuna denge hapoo!!
we rudi tu homeee....!